Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

10421418_1539045149705103_731099525959697839_n.jpg

ngoja amalize mazoezi....
 
Josephine atoe wapi sifa za kugombea Jimbo mahiri la KAWE...?
Hon Halima Mdee nafasi yake ya kutetea ipo wazi..
 
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.

Acheni umbea wa kizandiki mithili ya watt wenye elimu ya kaptula!!!propaganda za kijuha!!!
 
Hili mbona linafahamika juzi kati mshumbushi alikuwa na mkutano wa ndani hapa kawe halima akamtumia vijana wamdunde ilikuwa bonge la tifu kwahiyo tarifa yako ni sahihi wachaga wamepanga mke wa babu agombee kawe.
 
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.

Watu tukitaja majina tunapigwa ban leo lazima niandamane kwa hawa ma mods name calling.


Swissme
 
Watu tukitaja majina tunapigwa ban leo lazima niandamane kwa hawa ma mods name calling.


Swissme

Kwanini mnambania first lady wa chama kugombea ubunge? Kama jimbo amelitamani who can stop her??!
 
Hivi Halima Mdee ni kabila gani vile? Mhaya?

Hili mbona linafahamika juzi kati mshumbushi alikuwa na mkutano wa ndani hapa kawe halima akamtumia vijana wamdunde ilikuwa bonge la tifu kwahiyo tarifa yako ni sahihi wachaga wamepanga mke wa babu agombee kawe.
 
Hili mbona linafahamika juzi kati mshumbushi alikuwa na mkutano wa ndani hapa kawe halima akamtumia vijana wamdunde ilikuwa bonge la tifu kwahiyo tarifa yako ni sahihi wachaga wamepanga mke wa babu agombee kawe.

Mleta mada yafaa apigwe bann ya nguvu, maana analeta fitina hapa great thinker, bakini huko huko fb shenzi taipu.
 
Kwa hiyo Mshumbushi au Dr Slaa, nani Mchaga? Mhhh, Mshumbushi ni Mchaga?

Hili mbona linafahamika juzi kati mshumbushi alikuwa na mkutano wa ndani hapa kawe halima akamtumia vijana wamdunde ilikuwa bonge la tifu kwahiyo tarifa yako ni sahihi wachaga wamepanga mke wa babu agombee kawe.

Mpare mkuu
 
Back
Top Bottom