Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,325
- 62,203
Kuwa makini kutukana tukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaakowe nae kama hayawani, hua nakuzoom tu ulivo mjinga mjinga usie na akili
Kuwa makini kutukana tukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaakowe nae kama hayawani, hua nakuzoom tu ulivo mjinga mjinga usie na akili
Hakuna hata mmoja isipokuwa mzee John Malechela kutokana na umri wake. Labda kama ulitaka na waliokufa wawepo.Tofauti na yeye, mawaziri wakuu wastaafu wangapi hawakuwepo?
Mi mwenyewe mama nakuzaa huku nakimbia, ebu tuliza akili we kijana mjinga, uwe unawaza mbali, sio unawaza 1 second ahead, usie na akiliKuwa makini kutukana tukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaako
Atashukuru sana kama hatatekwa!Kuna hotuba za JKN zikipigwa leo TBC FM au TBC TV huyo mfanyakazi anakosa kazi siku hiyo hiyo.
Unatafuta kibenten ? NichukueMi mwenyewe mama nakuzaa huku nakimbia, ebu tuliza akili we kijana mjinga, uwe unawaza mbali, sio unawaza 1 second ahead, usie na akili
Sasa unataka kutumia uzee wako kupotosha watu?Wewe mtoto mdogo pengine huelewi chochote.
Unaweza kukuta wewe ndiye unatangulia mbele, na wala huna lolote la watu kukumbuka kwayo.Hata hivyo hata afanyeje karibia atakata moto! Hafiki miaka 90. Awamu ijayo ndiyo ya mwisho kwake!
Thubutu wangepoteana sasa hivi hayupo wanaogopa kwa sababu nguvu ya ushawishi bado ipo vichwani mwa wengi.Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa🥺🥺🥺🤔
Wanadhani gawio la vijisenti vya uchawa Warioba anababaika nalo.Kuna chochote anachopungukiwa kwa kitendo cha kutoalikwa kwenye hilo tukio ?
Wa
Hoja yako ni nini...?Coinsdence,
Hawezi kutengwa na hana wa kumtenga.
Huyo ni mzee mwenye busara tu usimtumie kwenye siasa zenu majitaka hizo.
Umezaliwa mwaka gani bwege wewe mpaka umuone Warioba mtoto.
Nyie vijana toka mnaanza kushika simu mna ujinga mwingi sana.
Futa ujinga wako au utakuja kunyanganywa simu.
Wapi nimemtaja Warioba wewe mpuuzi wewe?Unaweza kukuta wewe ndiye unatangulia mbele, na wala huna lolote la watu kukumbuka kwayo.
Mzee Warioba kisha weka alama isiyoweza kufutika, na bado...
Bado nipo nipo!Na wewe utakata moto lini?
Siasa yenye amani ina raha zake inaibuka mikwaruzo ya kila aina lakini ukifika usiku kila mtu anaingia kitanda na kulala.Oil chafu haichafuki, jaribu na wewe uone kama hata jina lako litatajwa mtaa wa pili unapoishi ngumbaru mkubwa wewe
Ndio demokrasia yenye upana mkubwa, kila mtu anao uhuru wa kuongea na kusikilizwa.Kudai haki ya waTanzania wewe unakuita "kuchafua serikali"?
Huku ndiko kuwatapikia waTanzania baada ya kushibishwa makombo?
1980 - 1985 kabla hajawa waziri mkuu.Baada ya vita ya kagera bado unamtaja Warioba
JPM alikufa natural death. Moyo ukiwekewa betri ni vigumu mtu kuishi miaka mingi. Kuna wakati alikuwa analewa pombe usiku, matatizo aliyokuwa nayo akayaongezea taabu nyingine.Mzimu wa magufuli umesanuka unataka no reform no election umejua kuwa magufuli aliuawa na sasa wauaji lazima waungue kwa laana
Instagram na facebook zinaanika ujinga mwingi wa watoto wa miaka ya 90 na 2000.Coinsdence,
Hawezi kutengwa na hana wa kumtenga.
Huyo ni mzee mwenye busara tu usimtumie kwenye siasa zenu majitaka hizo.
Umezaliwa mwaka gani bwege wewe mpaka umuone Warioba mtoto.
Nyie vijana toka mnaanza kushika simu mna ujinga mwingi sana.
Futa ujinga wako au utakuja kunyanganywa simu.
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.
Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.
Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.
Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.
View attachment 3385996
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Warioba ana shida na hela????Mzee Warioba wanamlipaga posho tamu tamu za milioni tano kila anapohudhuria vikao vyenye sura za wanaharakati vyenye lengo la kuichafua serikali ya awamu ya sita.