Ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga. Acha wamtange. Nao watatengwa.Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.
Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.
Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.
Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.
View attachment 3385996
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Hapana.Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Kikwete atakubalije huku mwanae ni Waziri na mkewe ni mbunge?Muungano ufe Tanganyika idai uhuru wake
Badili matusi basi, kila siku yaleyale tu?Hv we hunaga aibu? Jinsi yako ni ipi, km ni mwanaume huna marinda. We unaishi na Warioba? Una uhakika hajapewa mwaliko? Mbn msenge hivyo?
Sasa hapa unataka watu waelewe kitu gani hasa unachokilenga wewe!Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.
Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Kudai haki ya waTanzania wewe unakuita "kuchafua serikali"?Mzee Warioba wanamlipaga posho tamu tamu za milioni tano kila anapohudhuria vikao vyenye sura za wanaharakati vyenye lengo la kuichafua serikali ya awamu ya sita.
Si kweli. Warioba kajitenga mwenyewe. Angalia historia yake. Mosi,ni Waziri Mkuu pekee sliyeeahinkufukuzwsvkazi kwa uzembe na kutowajibika. Alifukuzwa na Rais Mwinyi mwaka 1986 akaitwa Malecela kutoka Ubaloxini London ndiye akawa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais. Pili, snsitwa Jaji Warioba lakini actually hajawahibkuwa Jaji su hata HalimuKatika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.
Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.
Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.
Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.
View attachment 3385996
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Sasa tueleze wewe unayejuwa sababu za wao kutokuwepo hapo.Havunji Bunge leo. Mara haji leo maana mpaka sasa hajaja. Mara Mzee Warioba hajaalikwa utafikiri Mzee Malecela na Makamu wa Rais Mpango umewaona hapo! Au nao hawajaalikwa sio?
Afadhali umesemaTofauti na yeye, mawaziri wakuu wastaafu wangapi hawakuwepo?
Haya. Tufanye nimekukubalia.Sasa tueleze wewe unayejuwa sababu za wao kutokuwepo hapo.
Sisi tutasema kuwa hawakutaka wenyewe kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea chini ya Samia na GENGE lake.
Mzee Warioba sasa hivi kajijengea heshima kubwa sana, ambayo asingeweza kuipata katika nafasi zake za uwaziri mkuu.Wambague wasimbague, haijalishi atabaki kuwa ni Waziri Mkuu mstaafu na kati ya wazee wenye busara zao, waliobaki, wapigania haki na sheria kwa nchi hii. Mzee wa watu yuko mioyoni mwa Watanzania wengi, tunamuombea maisha marefu, aje aione Tanzania inayotakiwa kuwa.
Walishamfanyia visa vyote, kupigwa kibao na yule mwenye domo kama nyama ya nyongeza. Mtoto wake Kipi (ex shemeji) kufanyiwa mizengwe. Haijamkatisha tamaa kutetea Wananchi, angeweza akae ale mafao yake kwa raha zake, ila Mzee wa watu siyo mbinafsi, kajitoa kwaajili ya nchi hii. So hilo la kualikwa ni dogo sana anaheshima kubwa kwa wengi.
Simulizi kama simuliziMzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.
Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Warioba ni MZALENDOWarioba siyo chawa
Nyerere angekuwa hai angewakemea CHADEMA kwa kuleta uzanzibari na uzanzibara.Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.
Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.
Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.
Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.
View attachment 3385996
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Na wewe utakata moto lini?Hata hivyo hata afanyeje karibia atakata moto! Hafiki miaka 90. Awamu ijayo ndiyo ya mwisho kwake!
Mapendekezo ya serikali 3 yalikuwa ya Chadema na CUF au yalikuwa ya wananchi?Si kweli. Warioba kajitenga mwenyewe. Angalia historia yake. Mosi,ni Waziri Mkuu pekee sliyeeahinkufukuzwsvkazi kwa uzembe na kutowajibika. Alifukuzwa na Rais Mwinyi mwaka 1986 akaitwa Malecela kutoka Ubaloxini London ndiye akawa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais. Pili, snsitwa Jaji Warioba lakini actually hajawahibkuwa Jaji su hata Halimu
Tatu, kwenye Tume ya Warioba aliharibu kwa kupendekeza Serkali 3 kwa shinikuzo la CHADEMA na CUF waliotaka Serkali 3 ili Muungano ufe. Aidha,apendekezo mengine ya Tume Ya Warioba ni mambo meeengo ya tunu huku akijua tunu siyo jambo la Muungano na kwamba hapakuwa na Serkali ya Tanganyika kupitisha hizo tunu. Disgruntled and frustrated akawa ni mpigadebe wa CHADEMA kulipiza kisasi.
we nae kama hayawani, hua nakuzoom tu ulivo mjinga mjinga usie na akiliIli uwe mwanachama wa Chadema inatakiwa uwe na kipaji kikubwa cha kulalamika na kutengeneza nongwa