Joseph Warioba atengwa Rasmi

Joseph Warioba atengwa Rasmi

Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.

Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Kwa hiyo ndo maana mlimpiga?
460d1635680a56656d6cf60da6b69d89.jpg
EPrBZmyUYAI69-Q.jpg
 
Hii nchi imejifia tu hakuna mtu wa maana utamuona apo kwenye ilo Bonanza

Hapo huwezi kuona maasikofu wa RC, Butiku au Warioba

Mpaka mkuu wa majeshi kagoma kuja ndio ujue tulipofikia Sasa!!


Hawa mafisadi watamwaga damu nyingi Sana kuachia madaraka
Shida ya hii nchi ni Kikwete,bila Kikwete kuondoka hali haiwezi badilika
 
Wambague wasimbague, haijalishi atabaki kuwa ni Waziri Mkuu mstaafu na kati ya wazee wenye busara zao, waliobaki, wapigania haki na sheria kwa nchi hii. Mzee wa watu yuko mioyoni mwa Watanzania wengi, tunamuombea maisha marefu, aje aione Tanzania inayotakiwa kuwa.

Walishamfanyia visa vyote, kupigwa kibao na yule mwenye domo kama nyama ya nyongeza. Mtoto wake Kipi (ex shemeji) kufanyiwa mizengwe. Haijamkatisha tamaa kutetea Wananchi, angeweza akae ale mafao yake kwa raha zake, ila Mzee wa watu siyo mbinafsi, kajitoa kwaajili ya nchi hii. So hilo la kualikwa ni dogo sana anaheshima kubwa kwa wengi.
Heshima yako Bantu Lady
Mungu azidi kukujazia hekima! Ameen
 
Kiranga hujambo?
Hujambo ni salamu ya mdada au mmama fulani hivi anayetafuta Shikamoo.

Na jibu lake mahsusi kabisa analolitafuta ni hili.

"Sijambo Shikamoo".

Ukijibu vingine umeharibu.
 
Coinsdence,
Hawezi kutengwa na hana wa kumtenga.
Huyo ni mzee mwenye busara tu usimtumie kwenye siasa zenu majitaka hizo.
Umezaliwa mwaka gani bwege wewe mpaka umuone Warioba mtoto.
Nyie vijana toka mnaanza kushika simu mna ujinga mwingi sana.
Futa ujinga wako au utakuja kunyanganywa simu.
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
Hujambo ni salamu ya mdada au mmama fulani hivi anayetafuta Shikamoo.

Na jibu lake mahsusi kabisa analolitafuta ni hili.

"Sijambo Shikamoo".

Ukijibu vingine umeharibu.
na Habari gani nayo ni ya kutaka nini?
 
Kuna hotuba za JKN zikipigwa leo TBC FM au TBC TV huyo mfanyakazi anakosa kazi siku hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom