Joseph Warioba atengwa Rasmi

Joseph Warioba atengwa Rasmi

Hoja yako ni nini...?

By the way, kumbe wewe ni mzee?

Mbona sasa una shout hovyo na kumtukana mtoa hoja (kijana) bila sababu? Busara za uzee wako ziko wapi...?

Okay. Let's assume kuwa, hakuna wa kumtenga na hajatengwa, kwanini leo hakuwepo pale unadhani? Je, mlimwalika lakini hakuja mwenyewe...?

Wazee wa siku hizi (dizaini ya Jakaya Mrisho Kikwete) mko hovyo sana, mmejaa tamaa za uzeeni lakini hekima na busara hakuna..!
huwa napata shida sana kueleweshana na wapumbavu,lunch time soon mwana jf kale ugali na maharage uzime
 
Na hao mnao watoa roho kabisa kwa kutoa maoni yao je?
Mara nyingi unakuwa kama akili zinakuruka kichwani, vipi?
Una uhakika roho zao zinatolewa na hao unaodhani wanafanya hiyo shughuli?.

Roho nyingi tu zinatolewa kwa sababu mbalimbali.
 
Una uhakika roho zao zinatolewa na hao unaodhani wanafanya hiyo shughuli?.

Roho nyingi tu zinatolewa kwa sababu mbalimbali.
Ushahidi wa kutosha kabisa upo, tena usiokuwa na mashaka kabisa.
Nionyeshe tukio hata moja tu la watu waliodhurika kwa saababu ya maoni yao dhidi yenu, ambalo hata juhudi za uongo na kweli zimefanyika kulifanyia uchunguzi tu, siyo kulikamilisha kwa kuwakamata washukiwa!

"Kifo ni Kifo Tu" ndilo linakuwa hitimisho la mtu kutolewa uhai katika mazingira yaliyo wazi kabisa?
Hivi nyinyi watu akili zenu hasa zipo wapi?
 
Katika Mawaziri Wakuu Wastaafu walioalikwa kwenye Kongamano la kuhitimisha shughuli za Bunge huko Dodoma, Jina la Warioba halimo.

Sababu za Mzee Warioba kutengwa zinafahamika, ni kwa vile yuko upande wa Wananchi, akipigania Demokrasia.

Lakini kwa vile Wananchi wako Pamoja na Warioba basi hana haja ya kuogopa na wala hakuna atakayemtisha.

Hii ni kwa sababu Wenye Nchi ni Wananchi.

View attachment 3385996

Taarifa zingine zinaeleza kwamba kwa hali ya sasa ya ccm ya ubinafsi hata Nyerere angekuwa hai angetengwa
Ni muongozo kutoka kwa rostam azizi
 
Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.

Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Alikua mlevi sana na hana alama aliotuachia

Labda Kama angefanikiwa ile Tume yake ingekuja na majibu

Na kwa sasa katiba yake hawaitaki
 
Mzee Warioba akiwa AG miaka ya 80 mwanzoni ndio tulikula sana ugali wa yanga, tukapanga foleni za maduka ya kaya. Kinamama wakavaa sana vitenge vya kupika.

Miaka ile baada ya vita ya Kagera kumalizika tulikuwa na rhumba la kufa mtu huko mitaani.
Unajua sababu ya hali hiyo. Ombq uhai inakuja tena. Subiri uchaguzi ufanyike bila Chadema.
 
Back
Top Bottom