Joseph Musukuma: Pesa za Mama Samia walizokopeshwa Wasanii, wameolea na kununulia Magari

Joseph Musukuma: Pesa za Mama Samia walizokopeshwa Wasanii, wameolea na kununulia Magari

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma

"...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo wengine na kuoa kununua magari, starehe zingine zimewaua na kuwaua..."

 
Mnawapa wanaoonekana kwenye TV mnaangalia shape hahaha
 
Mfumo wa mikopo ndo mbovu,..mfumo mzuri ni kuangalia wapi mtu amekwama wanamkwamua kwa style hiyo hiyo ya mkopo. Mathalan mtu anahitaji vifaa, ama kwenda kurekodi, ama kuboresha studio za kurekodi...ni issue tu ya kutangaza tender mtu anasupply ama kufanya hiyo kazi then wizara inalipa moja kwa moja. Then pesa kidogo sana ndo iende kwa msanii kumalizia mambo mengine ambayo hayahitaji mchakato wa tenda. Hiyo itasaidia hata kufanya ufuatiliaji wa namna pesa ilivyotumika. Huwezi kumpa msanii mamilioni asilimia kubwa hawana kampuni sijui hata auditing itafanyikaje
 
Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma

"...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo wengine na kuoa kununua magari, starehe zingine zimewaua na kuwaua..."

View attachment 3326852
Mfumo wa mkopo hauknyeshi kama kuna accountability ya aina yoyote kwa mjopaji na mkopeshaji serikali kwa hapo kama inatupa tu hela
 
Ningependa kupata clip ya majibu ya Wizara kuhusu hii hoja
 
Back
Top Bottom