Ni mwenyekiti Wa CCM Wa mkoa Wa Geita, ni mfanyabiashara za madini ya Almasi katika mji Wa Geita. Halipi kodi popote, Elimu yake ni darasa la saba, ni muumini mzuri sana Wa mambo ya kishirikina, alikuwa mfuasi mtiifu Wa Lowassa kabla ya Lowassa kuhama CCM, Kwa sasa anajipendekeza sana kwa Magufuli huku akimtukana matusi mabaya Lowassa.
Ni darasa la saba moja hivi aliyepata pesa kwa ujambazi
Simjui nasikia tu Msukuma, na wanasema anayo pesa chafu, anayo Elikopta, ni kijana mdogo.
Naombeni WanaJF niambieni kuhusu huyu mtu anafanya nini, anabishara gani??? Na je kama anayo biashara kodi zake analipa???
Simjui nasikia tu Msukuma, na wanasema anayo pesa chafu, anayo Elikopta, ni kijana mdogo.
Naombeni WanaJF niambieni kuhusu huyu mtu anafanya nini, anabishara gani??? Na je kama anayo biashara kodi zake analipa???
Simjui nasikia tu Msukuma, na wanasema anayo pesa chafu, anayo Elikopta, ni kijana mdogo.
Naombeni WanaJF niambieni kuhusu huyu mtu anafanya nini, anabishara gani??? Na je kama anayo biashara kodi zake analipa???
Ni darasa la saba moja hivi aliyepata pesa kwa ujambazi
Mbona kachoka?
Hana ndege huwa anakodi helikopta ya usajil 5YDKK sio yake
Ni darasa la saba moja hivi aliyepata pesa kwa ujambazi