Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
ni mwenye kitu wa ccm geita,alikuwa Rafiki wa lowasa ,anamiliki migodi mdogo midogo,ni mshirikina wa kufa MTU..ni political junk,anasoma upepo..
pia kuna tetesi kwamba anakundi LA wajambanoka,Kama wale walio vamia mgodi wa geita GGM.
juzi nilikuwa mwanza nikaona basi moja hivi limebandikwa stika zenye picha yake,nikahisi kichefuchefu sikusoma Kama anagombea ubunge ,diwani au uraisi..yaaan simpendi hadi sijui Kama anagombe uraisi au umwenyekiti wa chama au kitongoji
pia kuna tetesi kwamba anakundi LA wajambanoka,Kama wale walio vamia mgodi wa geita GGM.
juzi nilikuwa mwanza nikaona basi moja hivi limebandikwa stika zenye picha yake,nikahisi kichefuchefu sikusoma Kama anagombea ubunge ,diwani au uraisi..yaaan simpendi hadi sijui Kama anagombe uraisi au umwenyekiti wa chama au kitongoji