Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,594
Baba mkwe wako!
Ni jambaji chungu,sengerema wanamfahamu zaidi. Alifanya hiyo kazi kwa kutumia nguvu za ngiza. Lowassa ashkru kuwa mbali nae. Helicopter ilikuwa ya Lowassa ashanyang'anywa na ana hasira na Lowassa usipime. Ni mtu anayeeneza ukabila kwa wasukuma wezangu ambao bado hawajapata elimu ya kutosha.
![]()
Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.
Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!
Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.
Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!
Msukuma tunakushukuru zile fununu zilizokuwepo chinichini zidi el kufanya mambo furani ya aibu geita zimewekwa wazi,
Aisee. Kwa hiyi sera ya sasa hivi ndo hiyo? Whether ni kweli au sio kweli, mgombea wenu ana kifua cha kustahmili mapigo? Kwa kuwa tunataka tuanze kuweka mambo hadharani na ushahidi sio bla bla kama za kwenu
Aisee. Kwa hiyi sera ya sasa hivi ndo hiyo? Whether ni kweli au sio kweli, mgombea wenu ana kifua cha kustahmili mapigo? Kwa kuwa tunataka tuanze kuweka mambo hadharani na ushahidi sio bla bla kama za kwenu
Wakupime akili alipokuwa anamsapoti el alikuwa wa maana Leo kaeleza uchafu wa karne wa el mnaanza kumkashifu,kafie mbali
Kama Lowassa alivuruga itifaki kumpokea Msukuma Arusha na akamruhusu aongee kabla ya waliomtangulia na huku CCM ndio usiseme wanavyomheshimu kumbe anafaa kugombea hata urais wa Tanzania.
Inasemekana katika ukoo wao yeye ndiye maskini kuliko wote ingawa chopa aliyonayo kainunua sh trilion 215 kutoka kampuni inayounda madege ya kijeshi ya kimarekani ya Texas.
Msukuma oyee ....
Hi ni almost two years ago
Dogo ni shiiida
Chuki zaanza ndani ya CCM, Sinyanga, Monduli, Mgeja, Lowasa - Shinyanga Yetu
HeheheheHivi hawa ccm Sifa ya kuwa mwenyekiti ni ninii namwangalie ndugu abdallah bulembo mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi na huyu msukuma mwenyekiti wa mkoa wa geita nabaki sielewi elewi
Nikishakutajia uanze kuniita tajiri wakati sistahili kuitwa tajiri .
Huyu msukuma amechoka matajiri hawapo hivi ,matajiri ni wembamba lakini wamenawili tofauti na msukuma hajanawili yupo tu kama fukara.
![]()
Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.
Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!
Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.
Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!
Kweli raisi wangu lowasa hakukosea vipaumbele
1.elimu
2.elimu
3.elimu
Wewe zuzu unaijua sh trillion 215 ?
Hivi hawa ccm Sifa ya kuwa mwenyekiti ni ninii namwangalie ndugu abdallah bulembo mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi na huyu msukuma mwenyekiti wa mkoa wa geita nabaki sielewi elewi
Mkuu Trilion 215 ni bajeti ya Tanzania miaka mingapi? kuna chopa ya hiyk bei kweli?