Joseph Msukuma ni nani?

Joseph Msukuma ni nani?

Ni jambaji chungu,sengerema wanamfahamu zaidi. Alifanya hiyo kazi kwa kutumia nguvu za ngiza. Lowassa ashkru kuwa mbali nae. Helicopter ilikuwa ya Lowassa ashanyang'anywa na ana hasira na Lowassa usipime. Ni mtu anayeeneza ukabila kwa wasukuma wezangu ambao bado hawajapata elimu ya kutosha.

Wakupime akili alipokuwa anamsapoti el alikuwa wa maana Leo kaeleza uchafu wa karne wa el mnaanza kumkashifu,kafie mbali
 
attachment.php

Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.

Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!

Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.

Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!

Huyu ndo rafiki wa el no2 baada ya rostam,lkn ndo amesaidia watu kujua kituko cha karne cha el alichokifanya geita,hapo fununu zilikuwepo chinichini,
 
Msukuma tunakushukuru zile fununu zilizokuwepo chinichini zidi el kufanya mambo furani ya aibu geita zimewekwa wazi,
 
Msukuma tunakushukuru zile fununu zilizokuwepo chinichini zidi el kufanya mambo furani ya aibu geita zimewekwa wazi,

Aisee. Kwa hiyi sera ya sasa hivi ndo hiyo? Whether ni kweli au sio kweli, mgombea wenu ana kifua cha kustahmili mapigo? Kwa kuwa tunataka tuanze kuweka mambo hadharani na ushahidi sio bla bla kama za kwenu
 
Aisee. Kwa hiyi sera ya sasa hivi ndo hiyo? Whether ni kweli au sio kweli, mgombea wenu ana kifua cha kustahmili mapigo? Kwa kuwa tunataka tuanze kuweka mambo hadharani na ushahidi sio bla bla kama za kwenu

hii ni dhihaka hakika mungu atamwinua na nakuhakikishieni tutamchagua hivyo hivyo. wajinga nyie.
 
Kweli uchambuzi kuhusu huyo kijana unaonyesha ni hatari na hafai ktk jamii yetu. Na dhambi zake tumezijua baada ya kumsaliti bosi wake, ambaye ni lowasa, nikinukuu maelezo ya wachangiaji. Jambazi mkuu yupo ukawa laiti pasingetokea usaliti, Jambazi mtoto na Jambazi mkuu ndani ya ukawa wote wangekuwa malaika wa kuikomboa nchi yetu
 
Aisee. Kwa hiyi sera ya sasa hivi ndo hiyo? Whether ni kweli au sio kweli, mgombea wenu ana kifua cha kustahmili mapigo? Kwa kuwa tunataka tuanze kuweka mambo hadharani na ushahidi sio bla bla kama za kwenu

Tujadili hoja iliyopo hiyo ya kufikirika hadi muiunge unge, kanusheni kuwa mzee hakutokwa na haja kubwa, swali ni iweje ajinyee akiwa Chato nyumbani kwa mzee wa Hapa Kazi tu? Au ni mchecheto.
 
Wakupime akili alipokuwa anamsapoti el alikuwa wa maana Leo kaeleza uchafu wa karne wa el mnaanza kumkashifu,kafie mbali

We K nini!! Nani asiyemfahamu huyu Msukuma hasa wakati wa Sengerema!?
 
Kama Lowassa alivuruga itifaki kumpokea Msukuma Arusha na akamruhusu aongee kabla ya waliomtangulia na huku CCM ndio usiseme wanavyomheshimu kumbe anafaa kugombea hata urais wa Tanzania.
Inasemekana katika ukoo wao yeye ndiye maskini kuliko wote ingawa chopa aliyonayo kainunua sh trilion 215 kutoka kampuni inayounda madege ya kijeshi ya kimarekani ya Texas.
Msukuma oyee ....

Mkuu Trilion 215 ni bajeti ya Tanzania miaka mingapi? kuna chopa ya hiyk bei kweli?
 
Hivi hawa ccm Sifa ya kuwa mwenyekiti ni ninii namwangalie ndugu abdallah bulembo mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi na huyu msukuma mwenyekiti wa mkoa wa geita nabaki sielewi elewi
 
Nikishakutajia uanze kuniita tajiri wakati sistahili kuitwa tajiri .

Huyu msukuma amechoka matajiri hawapo hivi ,matajiri ni wembamba lakini wamenawili tofauti na msukuma hajanawili yupo tu kama fukara.

Kama kunawiri ama kujazia ndiyo utajiri au mamlaka, mwili wa Msukuma una tofauti gani na mwili wa aliyekuwa baba wa Taifa?
Najisemea tu huku nikipita.
 
attachment.php

Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.

Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!

Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.

Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!

Inaonekana anapenda sana kujinyea na ndio siri ya wachawi wakuu
 
Kweli raisi wangu lowasa hakukosea vipaumbele
1.elimu
2.elimu
3.elimu
Wewe zuzu unaijua sh trillion 215 ?

Trilioni 215 naijua sana kabla hata sijaanza shule, ina sifuri mbili mbele muulize hata msukuma kama mimi zuzu huniamini.
 
Back
Top Bottom