Joseph Msukuma ni nani?

Joseph Msukuma ni nani?

Kama Lowassa alivuruga itifaki kumpokea Msukuma Arusha na akamruhusu aongee kabla ya waliomtangulia na huku CCM ndio usiseme wanavyomheshimu kumbe anafaa kugombea hata urais wa Tanzania.
Inasemekana katika ukoo wao yeye ndiye maskini kuliko wote ingawa chopa aliyonayo kainunua sh trilion 215 kutoka kampuni inayounda madege ya kijeshi ya kimarekani ya Texas.
Msukuma oyee ....

duu mkuu maramia punguza tarakimu ama iyo thaman ya pesa zetu za madafu lakini ni nyingi sana ulimi umetereza umekula mrenda trilion 215???!!
 
attachment.php

Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.

Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!

Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.

Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!

Huyo mwenzako alikuwa anataka wasifu wa mzee msukuma, we umeenda kutoa maelezo ya namna alivyoshiriki ktk harakati za EL.
 
Wakuu,

Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.

Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.

Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.

Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.

Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.

Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue
 
Endelea kuhisi tuu

Mbn unaweza kuwa sehemu ya joto na ukahisi baridi, ukavaa sweta na kujifunika juu... Kuja kutalamaki kumbe una malaria

Usiponielewa usimlaumu MSUKUMA, huenda yeye ndie anapaswa kujua elimu yako
 
Wakuu,

Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.

Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.

Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.

Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.

Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.

Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue

Jina: Joseph Kasheku Msukuma
Kabila: Sukuma
Tarehe ya Kuzaliwa: 12.02.1974
Elimu: La Saba Oyeeee - Fulwe Primary School
Nyadhifa Alizowahi Shika: Mwenyekiti Geita DC,Mwenyekiti Chama Tawala Mkoa wa Geita.
Mh. Jamaa Huwa hana Haya Kujiita La Saba Oyee! Anaamini kuna Maprofesa anawazidi Akili.
Courtesy :Parliament of Tanzania
 
Juzi alivyoongea baada ya kuachiwa na polisi unaona kabisa pamoja na elimu ndogo aliyo nayo kuna dalili zote kwamba anatumia bangi.
 
Wakuu,

Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.

Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.

Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.

Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.

Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.

Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue
_20170925_071100.JPG
_20170922_225709.JPG
IMG_20170925_074634.jpg
 
Wakuu,

Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.

Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.

Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.

Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.

Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.

Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue

Kama wewe ni mfuatiliaji wa vipindi vya bunge utakubaliana na mimi kuwa Musukuma mwenyewe huwa anasema ndani ya bunge yeye ni mbunge ambaye hajasoma............."tena anajisemea sisi wa darasa la saba"!!!!
 
Mkisema huyu Jose anaonekana elimu yake ni ndogo kwa jinsi ananyo ongea. je yule jose mkubwa mtasemaje kutokana elimu yake na vile anavyo ongea?
 
Mkisema huyu Jose anaonekana elimu yake ni ndogo kwa jinsi ananyo ongea. je yule jose mkubwa mtasemaje kutokana elimu yake na vile anavyo ongea?
Nahisi hawa kina josee kuna pahali nyaya zimekaa vibaya
 
Anasema yeye ni Stnd seven, ila ana PhD ya mipasho aliyosoma na Kibajaji
 
CV ya msukuma watakupa ya Uganga wa kienyeji sijui kama anajua hata kuandika nasikia hata pesa alizo nazo amepata kwa njia ya uganga ulozi
 
Back
Top Bottom