Proff J ni lazima mjengoni. He's GOOD and well talented young
Commander. BIG UP.
Picha za uzinduzi wa kampeni!
hivi taifa tunalipeleka wapi hili taifa kwa kuwapeleka bungeni watu aina ya jay.. ikija miswada ya mafuta na gesi.. au shilingi kushuka atajadili nini kwa mfano... tuache ushabiki hatuwahitaji watu hao kwa sasa...
hivi taifa tunalipeleka wapi hili taifa kwa kuwapeleka bungeni watu aina ya jay.. ikija miswada ya mafuta na gesi.. au shilingi kushuka atajadili nini kwa mfano... tuache ushabiki hatuwahitaji watu hao kwa sasa...