Joram kiango vs Willy Gamba

Willy Gamba kwenye kitabu cha Uchu, mule kapambana sana namna alivyoingia Rwanda, kujificha kwa kivuli cha Redcross, kuvamia kambi ya waasi na namna alivyotafuta ukweli kuhusu mauaji ya kimbali kwa kuhoji mapadre na Maofisa wa jeshi la Rwanda.

Baada ya kukamilisha mission akawawakilisha vijana wa kula kimasihara kwa yule dada chotara wa kifaransa aliyekutana nae Rwanda.
 
Tutarudi na roho zetu?

Joram Kiango aliupiga mwingi. Namna alivyokua anatoroka sehemu tata ilikua poa sana. Lakini pia ukisoma kile kitabu, utaona mwandishi aliyaona mambo ya artificial intelligence miaka mingi kabla hata hayajafikiwa kiuhalisia.

I go for Joram Kiango. Mchizi alikua loyal sana kwa mademu zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…