Joram kiango vs Willy Gamba

Hakika unawajua vyema kongole sana
 
Kusadikika...kufikirika au ni ipi
 
Riwaya nyingi za zamani utazipata maktaba za mkoa, ukipata nafasi jaribu kubahatisha unaeza ukakuta kipo katika mkoa wako
 
Mpk unatamani wewe msomaji ndio uwe Willy Gamba , binafsi naona zilikua zinajenga uzalendo
Sana. Hasa ile issue ya almasi za mwadui ni noma sana. Watu walizipenda mno ndio maana Nyerere akaona hawa jamaa watajifunza haya mambo iwe shida, akazipiga marufuku eti zinafundisha ujambazi kumbe hata yeye alikuwa anazisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…