Kumbe kweli. Nilifikiri mleta mada ni hisia zake!bora nimwone nyoka sio jongoo...
jongoo ana msisimko fulani hivi mmbaya![]()
Mmenifundisha,A aaagggrrr sipend kuon huyo mdudu mim nikimuon nasisimkwa mwili wote sijui kwa nn
Juzi nilihama nyumba kisa nilikuta gamba la nyoka ndani....nyoka ni hatari jmn kuliko hata jongooSijawahi kumuogopa jongoo kwakweli.
Ila kitu nyoka na ile mijusi wakati fulani unaezaikuta ndani (kwa baadhi ya nyumba zetu flan)
Doohntaenda lala kwa jirani
![]()

Nipe namba ya rafiki yako na mimi ninafuga majongoo mengi sana. Ili nione kama kweli nitakachomwambia atakubali.



ushaona fursaTeh teh teh unataka utumie fursa mkuuNaomba kumujua huyo rafiki yako ili niweze kumuomba chochote kile kitu nitakachokihitaji nikimuwekea jongoo...tehtehteh!!
Basi tu uoga, yaan inanitesa sana maana nikienda sehemu nikawakuta sikai kwa amaniKwanin muogp hvy
hapana simaanishi hivyo, jongoo analeta hisia kama unapandiwa na chavichavi au wale wadudu wa kwenye Mwembe.Kumbe kweli. Nilifikiri mleta mada ni hisia zake!