Jongoo ana nini mpaka wanawake mumuogope?

Jongoo ana nini mpaka wanawake mumuogope?

Mie jongoo simuogopi, naogopa dudu washa tu

Kuna duduwasha flani hivi tulipokuwa watoto tulikuwa tunaambiwa eti linaingia kunyonya ubongo kupitia puani, yaani mpaka na uzee huu sitaki kabisa kuliona lile ingawa najua siyo kweli.
 
Tuna mfanyakazi wenyeji yeye ni mwanamke, akaona jogoo, hata mgongoni atakudandia, sie wanaume hua tunacheeeka sana.
 
Yaani sijui kwanini akikugusa unaweza hata zimia, nina rafiki yangu ukimuekea jongoo mbele yake chochote utachomuambia anakubali...sijui kwann tunaogopa kiasi hiki
naomba namba za huyo ukimwekea jongoo anakubali kila kitu
 
Yaani umenikumbusha mbali....kuna mama mmoja anaogopa jongoo siwezi hata kuelezea........
Yeye hata ukitamka tu jongoo anapiga kelele mpaka majirani wanajaa
Hahaha, kuna binti mmoja enzi za utotoni alikuwa anamkamata jongoo kwa mikono alafu anawatishia wanawake wenzake, duh! Sijui alikuwa na ujasiri gani
 
Yaani sijui kwanini akikugusa unaweza hata zimia, nina rafiki yangu ukimuekea jongoo mbele yake chochote utachomuambia anakubali...sijui kwann tunaogopa kiasi hiki
Hahahah eti nasikia mnaogopa kwamba ataingia kwenye papuchi?
 
Simpendiiiiii..mtu akinitishia ilo dudu sisemezan nae maana huwa naweweseka had usiku. Yaan likijikunjaa mara litembee mwili wangu unasisimka woga. Naandika huku nimekunja midomo umemtajia ninnn
Leo ukienda kitandani utamkuta kwenye shuka amejikunja
 
Sijawahi kumuogopa jongoo kwakweli.
Ila kitu nyoka na ile mijusi wakati fulani unaezaikuta ndani (kwa baadhi ya nyumba zetu flan)
Doohntaenda lala kwa jirani
Mimi nyoka ndo kidogo nitamuhofia, pia akikutana namimi ajiandae kudanja
 
Ninja shemeji yeye anaogopa nini.
 
Back
Top Bottom