mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
datz is what i like abt muslim hawapendi utan kabisa na dini yao na ukitania wanakua wakali kwel kwel...ila hawa washamba wanaotania dini ya kikristo huwa wananikera sana na nashangaa kwann wakristo huwa hatumind kama wenzetu...me nadhan iman sio kitu cha kufanyia mchezo inabidi tuanze kuwaiga ndugu zetu...kukemea mtu yeyote anayepost jokes kuhusiana na iman za kidini