Jokate agoma kukaa ofisini

Jokate agoma kukaa ofisini

Zakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti

Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze

Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi

Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo

Hahaaaaa hatareee sana wewe utakuwa umetumwa na mabe. be ru
Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 985182View attachment 985183View attachment 985184
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
Makamanda wanakereka sana na habari za maendeleo kama hizi.
 

au photo op

Ni zana ya enzi na enzi, wenzetu wanazo dhana hizi mpaka kwenye kamusi.

photo op


photo opportunity

noun

Definition of photo opportunity
: a situation or event that lends itself to and is often arranged expressly for the taking of pictures that give favorable publicity to the individuals photographed


Hali ama tukio linalosababisha na mara nyingi limeandaliwa kwa makusudi maalum ya kuchukua picha ambazo zinatoa umaarufu wa kumpaisha mtu aliyepigwa picha
 
Sifa nyingine za kijinga ujue...

Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.

Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.

DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.

Jr
 

Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.

Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.

DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
Kiki za kishamba in vain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti

Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze

Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi

Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo


Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyo mrefu tofauti na zakayo akipanda juu ya mti si ataonekana mpaka na Putin

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.

Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.

DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
What a senseless thread!
 
ile nafasi alipata samatta saivi villa wangekuwa wanaongoza 2-1
 
Ester usimfananishe na kina wema na jokate
Ati unasema kuanzia katikati ya mwaka ndo ataanza kula jasho lake! You can't be serious, kumbe alikuwa anakula la nani?
Jokate the shining star, hongera sana, atafika mbali, atawaacha mbali sana kina Ester Matiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti

Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze

Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi

Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo


Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anaonwa zaidi chumbani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom