Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,037
- 3,034
Zakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti
Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze
Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi
Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo
Hahaaaaa hatareee sana wewe utakuwa umetumwa na mabe. be ru
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda wanakereka sana na habari za maendeleo kama hizi.View attachment 985182View attachment 985183View attachment 985184
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
Ukiwa karibu na jungu kuu hukosi ukokoHuyu demu unam promote sana hapa jukwaani vipi unamgao wako nini Msagasumu
Sent using Jamii Forums mobile app
show off
Kweli mkuu yaani Loyola pale Mabibo /New york wanafundisha Elimu ya kuijtegemea? au sayansi kimu? weeee!Mkuu samahani umesema analima mwenyewe? Yaani Jokate anashika jembe analima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.

Kiki za kishamba in vain
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
Alivyo mrefu tofauti na zakayo akipanda juu ya mti si ataonekana mpaka na PutinZakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti
Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze
Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi
Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, analima sana dear,Mkuu samahani umesema analima mwenyewe? Yaani Jokate anashika jembe analima?
Sent using Jamii Forums mobile app
What a senseless thread!
Jokate Mwegelo amekataa katakata kushinda ofisini na kusaini karatasi zinazokuja badala yake ameamua kushinda field na kuwa kivutio kikubwa kwa jamii ya wenyeji wa kisarawe,wazaramo.
Wananchi wengi wa Kisarawe wamewaimiza mabinti zao wawe warembo, wachapakzi na maDC kwa pamoja maana yote yanawezekana.
DC Jokate ambaye pia ana shamba lake ekari mbili ambalo analima mwenyewe mihogo amekuwa akitumia muda mwingi kukagua na kushiriki miradi ya maendeleo na muda wake wa ziada akitumia kuhudumia shamba lake ambapo amedai katikati ya mwaka huu atakuwa anakula jasho lake mwenyewe.
Hmmile nafasi alipata samatta saivi villa wangekuwa wanaongoza 2-1
Ati unasema kuanzia katikati ya mwaka ndo ataanza kula jasho lake! You can't be serious, kumbe alikuwa anakula la nani?
Jokate the shining star, hongera sana, atafika mbali, atawaacha mbali sana kina Ester Matiko
Yeye anaonwa zaidi chumbaniZakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti
Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze
Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi
Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo
Sent using Jamii Forums mobile app