Jokate agoma kukaa ofisini

Jokate agoma kukaa ofisini

Inaelekea wewe ni Press secretary wake mzuri ,hatutaki viongozi attension seeker
Hutaki wewe na nani?Mimi nataka huyo attention seeker anayejipambanua tofauti na wengine kuwatumikia watu.
 
Zakayo alikuwa Mtu mfupi sana lakini alitamani kumuoa masihi akapanda juu ya mti

Hii habari ya Zakayo inafundisha ili uweze kuonekana iwe kazini au kwenye siasa au mtaani lazima ujionyeshe au ujikweze

Hii principal, Mimi binafsi natumia sana nikiwa na maslahi binafsi

Jokate acha nae afanye hivyo, Bila kuonekana nani atakuona, Ikiwezekana apande juu ya mti Kama Zakayo


Sent using Jamii Forums mobile app
Naona vidole vimeteleza bro
 
naona unampgia debe achukue nafasi ya makonda
 
Ati unasema kuanzia katikati ya mwaka ndo ataanza kula jasho lake! You can't be serious, kumbe alikuwa anakula la nani?
Jokate the shining star, hongera sana, atafika mbali, atawaacha mbali sana kina Ester Matiko
Ndo hapo najiuliza na Mimi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom