Joisi bana

Joisi bana

Joisi ana akili sana. Amejibu kiuhalisia na sio kama waliokaririshwa mashuleni.

Mfano wangeulizwa watoto wengi ambao hawakuwahi kufundishwa hio misemo wangejibu nini?

Btw aliojibu hapo sio mtoto otherwise ana IQ kubwa.
 
mshana jr; Leo umeianzisha kwa kicheko siku yangu. Dah! Yuko skuli gani jamani? Anafaa kupelekwa South kwenda kukifundisha kiswahili kule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom