Joisi bana

Joisi bana

Hamjajua tu joisi yuko clever sna.hio elimu ya kukariri haina dili.yuko creative kwel
 
Duh! Eti jogoo wa shamba hadinyi mjini, kaazi kwelikweli
 
Mama kambo-hulala na daddy

Mkuu hiyo umechomekea!!!

Na cha mlevi- huliwa na malaya.
 
mwalimu wa shule ya msingi popote ulipo chukuwa soda nije kulipa nikipita mitaa hio
 
Akili ni nywele kila mtu asinyoe.
Kama anamuadhimisha Bob vile!!!!
 
Akili ni nywele kila mtu asinyoe.
Kama anamuadhimisha Bob vile!!!!
kwa mujibu wa joisi ina maana mtu mwenye kipara hana akili? katoto kachochezi haka.... Kwa vyovyote katakuwa UKAWA haka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom