Mkuu Mshana sioni mantiki ya kumkosesha Namba 2, 5 na 7. Huo ndiyo ukweli. Halafu kwa Joisi kuna kitu utanotice nacho ni "uhalisia wake wa kufikiri". Anatumia "brain" wala hatazamii !
Joisi kaandika uhalisia mwalimu anataka mazoeaMkuu Mshana sioni mantiki ya kumkosesha Namba 2, 5 na 7. Huo ndiyo ukweli. Halafu kwa Joisi kuna kitu utanotice nacho ni "uhalisia wake wa kufikiri". Anatumia "brain" wala hatazamii !
Ule mkoa ambao serikali kuu inauhama na kukimbilia Dodoma...!sorry jina limenitoka kidogo!!![]()
![]()
mkoa gani
huko wanafundisha uzinzi huko?Bora wampeleke veta
"Asavali" ulivyosema wewe...mwenzio naogopa wasije kuni "Ben Saanane" maana imekua ni kama tunaishi kwenye nchi ya "MAZIMWI" mawili hatari!Hahhaha si useme tu DAR ES SALAAM
Pua kubwa kuliko mijitako
Huyu anatakiwa apelekwe mkoa wenye watu wabishi.Hahaha Vp tumpendekeze akaongoze mkoa gani?
Doooo we Jamaaa kuna ofisi moja kuna jois wawili .mmoja akaitwa joyce wowowo cjui na wewe upo hapo mkuu?huko wanafundisha uzinzi huko?
maana dogo naona ana wito huo.
Jogoo wa shamba hadinyi mjini
Cha mlevi huliwa na malaya
Mama wa kambo hulala na daddy
...
.
.
mshana jr Joyce wowowo umempata wapi?
akili ya Joisi imeshakua. kupitia majibu yake anatueleza ashki na 'ujuzi' wake juu ya mtindo wa maisha. changamoto za mwalimu zinazidi kupanuka kilauchao. fikiria kubadili mtazamo/ 'mindset' wa/ya huyu 'kicheche'. wazazi tujitafakari na wanafunzi mizigo kama JoisiJoisi joisi
Cha mlevi huliwa na malaya
mama wa kambo= hulala na dady
Mtoto unlieavyo ndio ananona
Ukitafakari utagundua Joisi anajieleza maisha anayolelewa na changamoto anazopitia kutoka kwa waleza/wazazi wake...
Namuombea Mungu amjalie wepesi........
Lakini Joisi ha ha ha