Ndelyaukiwa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 267
- 348
Jois amejibu sahihi kabisa kiuhalisia bila kukariri .
Paka akiondoka - atarudi baadaye
Mwenda tezi na omo - hajajua kuna aerial
Mpanda ngazi -Ni mfanya kazi wa Kenya power.
Haba na haba - ni haba mbili.
Mtaka cha mvunguni - avute kitanda.
Ukiona viaelea -zimekufa
Maji yakimwagika -chota mengine

Joisi sio wa spotispoti asee, naona hapo Joisi anatumia short-hand notepad kuandikia darasani!huyu jois itakuwa mkubwa nahis waliotumbuliwa vyet...mtoto hawez jua hayo








Huyu kwa haraka haraka analelewa na mama wa kambo, nimecheka saaaaana majibu ya joisiNa Kiuhalisia ukiachanan na methali yuko sahihi kabisa