Phlboy Jr.
Member
- Jun 3, 2015
- 22
- 0
Naombeni mnisaidie sare za Tukuyu secondary
Natafuta mawasiliano na mkuu wa shule ya matema high school anayemfahamu msaada please namba zangu ni 0787826454
Msaada wana JF!!! Nahitaji fomu ya form ya lufilyo secondary school
mwenye joining instruction ya IFUNDA TECH please anisaidie
wadau naombeni contact za kondoa girlz mfano website yao au namba ya cm ya mtu wa karibu xana kma mkuu wa shule,kikubw nataka kupata join form dg kachaguliwa pale na mda umeenda karibu waanze masomo.
Mi nimeshatumiwa
Nipe namba zako tuwacliane
Ahaa.mie nilidhani unatafuta mademu kutoka KONDOA....
Naomba join instructions za Bukoba(M) Sec School na Bariadi Sec School wadogo zangu wamechaguliwa huko.Msaada tafadhali.