Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

Naomba join instructions za Bukoba(M) Sec School na Bariadi Sec School wadogo zangu wamechaguliwa huko.Msaada tafadhali.
 
Habarizenu naombeni msaada wa joining instruction ya ndanda high school kama anaweza naomba antumie kwenye email yangu ambayo ni kambona.ak@gmail.com
 
Walio chaguliwa kigoma boys tuwasiliane tukizipata tujue tunafanyaje 0784979520.
 
Jamani nisaidieni join instruction ya AMANI ABED KARUME sec school iliyopo DODOMA KONDOA au mawasiliano yao please please mnisaidie
 
Kula like mkuu,hongera sana...Humu kuna walimu wengi tu,tena wengine wakuu,sijui wanafikiria nini kuziweka hizo joining humu

Kiukweli njia ya posta ni ndefu na yawezekana hadi unaondoka inakuwa bado haijafika

Wenye wanazo za shule nyingine waziweke humu

NB:Ninahisi wakuu wanaogopa watu wataanza kuhoji vile vipesa vya ajabu ajabu wanavyoviwekaga,mara jembe,mfagio etc

Kwa ukuaji wa sayansi na teknolojia hatuwezi kuepuka kutumia njia kama hizi za Jamiiforums n.k. Akhsante kwa pongezi zako. Humu kuna walimu wengi tu, nadhani wakitoa ushirikiano wa kutosha na wakuu wao wa shule wataweza kuwasaidia hawa wanafunzi ambao wanahangaika kusaka joining instructions kila kukicha.
 
Back
Top Bottom