Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FMES,
..sasa Mashaka si CCM mwenzako halafu unamrushia tuhuma za Ukenya tena?
..huyu kijana na hizi idea zake kama unavyoona ktk speech yake hapo atawapeni shida sana humo CCM.
FMES,
..sasa Mashaka si CCM mwenzako halafu unamrushia tuhuma za Ukenya tena?
..huyu kijana na hizi idea zake kama unavyoona ktk speech yake hapo atawapeni shida sana humo CCM.
mkuu mda si mrefu namimi ntakua jirani yako lakini bwa ha,ha,haa,inaonekana umetoka hill teck resort mda si mrefu mkuu kutafuna yale maji ya dhahabu.tuko pamoja mkuu- Mkuu kila unapofungua kinywa unazidi kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ulipoanzia na kuishia, kila siku unalia lia hapa kwamba Kyela unaibiwa na kuongozwa na mafisadi, hivi kweli unaweza kulinganisha maendeleo ya jimbo la Ukonga na Kyela?
- Mkuu jimbo la Ukonga lina kata nyingi zikiwemo za Kinyerezi, Kipunguni, Kitunda, Ukonga Magereza, Majumba Sita, Sitaki Shari, Segerea, Airwing na zinginezo, sasa hebu nitajie kata moja tu kati ya hizi unayoweza kulinganisha na hata jimbo zima la Kyela kimaendeleo?
- Ndio kwanza tumefungua bara bara mpya ya lami, kutoka getini Airwing yaani njia panda ya Airport mpaka gerezani Segerea kufikia Tabata unaunganisha mpaka Kimara. Mahanga sio siri ni kiongozi mchovu, lakini Ukonga sio Mahanga ambaye amekaa bungeni kwa miaka minne tu so far, hili jimbo ni bomba kabla hata yeye kuhamia Ukonga.
- Eti mkuu jimbo lenye vitega uchumi na kutoa ajira kwa wananchi jimboni kama Julius Nyerere International Airport, FFU HQ, JWTZ-Airwing HQ, JWTZ-Mizinga Squad, Gereza Kuu la Ukonga, Gereza Kuu la Segerea, Viwanda vya nguo Kiltex na Sungura tex, Kiwanda maalum cha kutotota vifaranga vya kuku, Segerea Catholic Seminary, unasema unaweza kulinganisha hili jimbo na Kyela? Hivi unajua hili jimbo lina secondary ngapi mkuu? Hebu nitajie jimbo moja tu Tanzania nzima linaloweza kulifikia jimbo hili la Ukonga kwa maendeleo?
- Na pia jimbo hili tunajivunia sana kwa kuwa na kata ninayotoka ya Kinyerezi/Sitakishari ambayo ni a home for national celebrities kama the sitting national leaders Waziri Wasirra, Mkuu wa Itifaki Balozi Itatiro, RC wa sasa Mbeya Mwakipesile, Mbunge wa Kawe Rita Mlaki, Managing Director Azania Bank Charles, Managing Director Wananchi Bank Mzee Mkwawa, pia tuna wastaafu wa taifa kama familia ya waziri wa zamani wa afya Mzee Sterling, Mzee Apiyo, familia ya marehemu Waziri Itatiro, familia ya marehemu makamu wa mwenyekiti wa kwanza wa Chadema Mzee Ngwilulupi, familia ya Balozi wetu wa zamani Nigeria Marehemu Mwasakafyuka, Wakuu watatu wa zamani wa Magereza Mzee Mwanguku, Mzee Mwaijande na Mzee Mwaipopo, familia ya mkuu wa polisi zamani marehemu Mzee Liani, Pia tuna wafanya biashara maarufu kama kina Mujuluzi, majority owner wa Imma, Dr. Mwaijande owner wa pharmacy maarufu pale Muhimbili hospital, kampuni kubwa ya mabasi na malori ya Mahende, Club maarufu sana Dar ya Hill-teck, pia ni a home for a former Simba player/national team Idd Pazi "Father" na pia ni a home for mimi mwenyewe Mukulu Field Marshall Es, yaani wazee wa sauti ya umeme! na Mkulu Mashaka John.
- Engineeer, hili jimbo haliwezi kuwa chovu kama lako huko Kyela not even close mkuu, msiwe mnakurupuka kurupuka jamani ulizeni kwanza, infact hili jimbo la Ukonga linaweza kuwa numero uno kwa maendeleo bongo nzima, sasa hivi kiwanja cha kujenga nyumba cha eka moja tu Ukonga kitakugharimu atleast Shillingi Millioni 20-30, sasa Engineer unasema nikitaka kununua kiwanja kama hicho Kyela kweli bei itakuwa sawa na hii ya Ukonga? Bwa! ha! ha! mkuu karibu sana Ukonga, usingoje ya kusimuliwa mkuu!
Wakuu Malafyale, Sinkala na Mkandara huuu ni wakati wa kuhamishia hii elimu tunayoipata hapa JF, katika jimbo letu badala ya kurushiana maneno machafu yasiyo na mshiko kwa masilahi ya taifa kama hao wa Kyela, na ni lazima tujihusishe sana na hii process ya kutafuta mbunge anayefaa kwa jimbo letu yaani wa kuendeleza aliyoyakuta, mimi toka jana nilipoiona hii habari ya Mashaka, nimekua nikiwasiliana na wazee wa jimbo kujua kinachoendelea na soon tutaweka msimamo hapa. Mkuu Engineer karibu sana jimboni kwetu ujifunze elimu ya maendeleo ya jimbo mkuu.
Respect.
Field Marshall Es!
kama kweli nilijua huyu panya atakuja na story kama hizi mwishoni,jamani naomba niulize hivi nyinyi wabongo hasa mliosoma nje hamuwezi kufanya kitu ingine zaidi ya kuwadanganya watu na hivyo visenti vyenu vya pipi kuwaibia?we john mashaka huna biashara nyingine ya kufanya na hizo vx zako 4 na dola 350,000 zaidi ya kununua ubunge?si lazima wote muwe wanasiasa,halafu chama chenyewe ccm unahitaji nini cha zaidi humo?si ufungue hata travel agency au jenga hotel basi kama hela zinakuwasha,e bwana mi sina mjadala mrefu watu washamba kama hawa anaona kukaa marekani basi we ndio mungu utafanya lolote unalotaka,kama muda wa kupiga box umeisha rudi home tu anzisha biashara ya matikiti maji na matango basi kama obama wa urusi.The John Mashaka Charitable Foundation is a 501 (c) (3) entity established and funded by John Mashaka, in order to fulfill his dream and desire to use the fruits of his blessings, to help people living under massive poverty, get clean water, and also provide assistance to those living with HIV/AIDS virus get free medical attention they would not otherwise obtain.
http://powerofhearing.com/mashaka/index.html
Hiyo ndiyo Typical Bongo Style! Hizi ni tetesi tu, huyu jamaa anataka kufanya anayoyaona yeye, na mie naweza kusema kuwa, wasomi vijana, pamoja na wasomi wengine popote pale walipo wawe na changamoto ya kufanya mambo makubwa. Wawe msitali wa mbele vilevile, siyo kulaumu tu wazee au wale ambao hawajasoma ndiyo wanachukua madaraka. Let the boys and gals work their way up. The good thing is is not so easy to convince Tanzanians by your only money or VXs; will much depend on what your lips will evict. Note that Tanzania of today is not that of 1947.kama kweli nilijua huyu panya atakuja na story kama hizi mwishoni,jamani naomba niulize hivi nyinyi wabongo hasa mliosoma nje hamuwezi kufanya kitu ingine zaidi ya kuwadanganya watu na hivyo visenti vyenu vya pipi kuwaibia?we john mashaka huna biashara nyingine ya kufanya na hizo vx zako 4 na dola 350,000 zaidi ya kununua ubunge?si lazima wote muwe wanasiasa,halafu chama chenyewe ccm unahitaji nini cha zaidi humo?si ufungue hata travel agency au jenga hotel basi kama hela zinakuwasha,e bwana mi sina mjadala mrefu watu washamba kama hawa anaona kukaa marekani basi we ndio mungu utafanya lolote unalotaka,kama muda wa kupiga box umeisha rudi home tu anzisha biashara ya matikiti maji na matango basi kama obama wa urusi.
[FONT=Tahoma, Verdana, sans-serif]Events Calendar[/FONT]
The John Mashaka Foundation is planning to help orphaned children in various hospitals in Tanzania who would not otherwise afford to pay for their treatment. It is also planning to sponsor special summer programs in 2009 which will enable poor (at risk) children in the United States (State of North Carolina) get a chance to earn various vacations.
The foundation will also be working in very remote regions of Tanzania on water projects.
As we count towards 2009, we count on your moral support to make these noble causes happen. Any donation is welcomed.
Checks / Money Order Donations can be mailed to
The John Mashaka Foundation Inc.
9506 Grove Crest Ln #623
Charlotte, NC 28262
All donations are Tax Deductible
Nimeikuta kwenye foundation yake hiyo, kwa kweli huyu kijana anajitahidi. Ila mie namshauri asijiingize kwenye siasa, yeye aendelee kusaidia jamii kama anavyofanya sasa.
- Mkuu kila unapofungua kinywa unazidi kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ulipoanzia na kuishia, kila siku unalia lia hapa kwamba Kyela unaibiwa na kuongozwa na mafisadi, hivi kweli unaweza kulinganisha maendeleo ya jimbo la Ukonga na Kyela?
- Mkuu jimbo la Ukonga lina kata nyingi zikiwemo za Kinyerezi, Kipunguni, Kitunda, Ukonga Magereza, Majumba Sita, Sitaki Shari, Segerea, Airwing na zinginezo, sasa hebu nitajie kata moja tu kati ya hizi unayoweza kulinganisha na hata jimbo zima la Kyela kimaendeleo?
- Ndio kwanza tumefungua bara bara mpya ya lami, kutoka getini Airwing yaani njia panda ya Airport mpaka gerezani Segerea kufikia Tabata unaunganisha mpaka Kimara. Mahanga sio siri ni kiongozi mchovu, lakini Ukonga sio Mahanga ambaye amekaa bungeni kwa miaka minne tu so far, hili jimbo ni bomba kabla hata yeye kuhamia Ukonga.
- Eti mkuu jimbo lenye vitega uchumi na kutoa ajira kwa wananchi jimboni kama Julius Nyerere International Airport, FFU HQ, JWTZ-Airwing HQ, JWTZ-Mizinga Squad, Gereza Kuu la Ukonga, Gereza Kuu la Segerea, Viwanda vya nguo Kiltex na Sungura tex, Kiwanda maalum cha kutotota vifaranga vya kuku, Segerea Catholic Seminary, unasema unaweza kulinganisha hili jimbo na Kyela? Hivi unajua hili jimbo lina secondary ngapi mkuu? Hebu nitajie jimbo moja tu Tanzania nzima linaloweza kulifikia jimbo hili la Ukonga kwa maendeleo?
- Na pia jimbo hili tunajivunia sana kwa kuwa na kata ninayotoka ya Kinyerezi/Sitakishari ambayo ni a home for national celebrities kama the sitting national leaders Waziri Wasirra, Mkuu wa Itifaki Balozi Itatiro, RC wa sasa Mbeya Mwakipesile, Mbunge wa Kawe Rita Mlaki, Managing Director Azania Bank Charles, Managing Director Wananchi Bank Mzee Mkwawa, pia tuna wastaafu wa taifa kama familia ya waziri wa zamani wa afya Mzee Sterling, Mzee Apiyo, familia ya marehemu Waziri Itatiro, familia ya marehemu makamu wa mwenyekiti wa kwanza wa Chadema Mzee Ngwilulupi, familia ya Balozi wetu wa zamani Nigeria Marehemu Mwasakafyuka, Wakuu watatu wa zamani wa Magereza Mzee Mwanguku, Mzee Mwaijande na Mzee Mwaipopo, familia ya mkuu wa polisi zamani marehemu Mzee Liani, Pia tuna wafanya biashara maarufu kama kina Mujuluzi, majority owner wa Imma, Dr. Mwaijande owner wa pharmacy maarufu pale Muhimbili hospital, kampuni kubwa ya mabasi na malori ya Mahende, Club maarufu sana Dar ya Hill-teck, pia ni a home for a former Simba player/national team Idd Pazi "Father" na pia ni a home for mimi mwenyewe Mukulu Field Marshall Es, yaani wazee wa sauti ya umeme! na Mkulu Mashaka John.
Respect.
Field Marshall Es!
nilifikiri anatenda wema aende zake kumbe mashaka anasubiri shukrani
[FONT=Tahoma, Verdana, sans-serif]Events Calendar[/FONT]
Nimeikuta kwenye foundation yake hiyo, kwa kweli huyu kijana anajitahidi. Ila mie namshauri asijiingize kwenye siasa, yeye aendelee kusaidia jamii kama anavyofanya sasa.