Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
basi sura ya Tanzania itabadilika,
No thank you. sio kwa chama kile kile.... hapo hunidanganyi. Labda aje masiha!
basi sura ya Tanzania itabadilika,
Na msinisahau Mkandara nipo Matembele, Ukonga..
- Mkuu Malafyale heshima mbele sana mkuu, kumbe mkuu na wewe ni jirani unajua mimi mkuu nipo chini yako hapo Kinyerezi mkuu ukivuka reli tu njia ya kwenda Segerea, saafi sana sasa lazima tuhamishie hii elimu tunayoipata hapa JF mpaka huku jimboni kwetu saafi sana na tupo pamoja.
- Kwa leo sina comments na hizi habari za Mashaka, lakini in due time nitasema, kwanza ni jimbo langu anyways, ngoja niwasiliane na wazee wa jimbo kwanza and then nitasema tena loud and very clear, when the time is right.
Respect.
FMEs!
Bahati nzuri kwa Dar yalipo makazi yangu ni Kipunguni-kitunda,na sijaona hata siku moja John Mashaka akishirikiana na sisi kweye suala la maendeleo;kwa ufupi kama kweli anakuja kugombea Ukonga na aje na "tutamnyoa" na hizo" hela zake!Kama suala ni mgombea kiana wapo wengi tu Ukonga na sio lzm awe John Mashaka ambaye umaarufu wake kwa wana Ukonga tunausikia tu kupitia blog ya Michuzi inayomtangaza kweli kweli!
Pia kama kweli ataleta Wamarekani kuja kumfanyia kampeni hapo atakuwa anavunja katiba,sheria mama za uchaguzi wa TZ zinakataza kabisa kwa mtu asiye raia wa tz kuhusika kwa lolote lile ktk uchaguzi wetu kama sisi ambavyo hatuingilii chaguzi za nchi zingine!
"Mwisho ni hii habari ya dola 350,000 na gari hizi zake za kifahari",Kwa maisha ya USA kujikusanya hadi kufikisha hela hizo na kununua magari hayo ni ngumu;anyway acha niamini kama anavyo vitu hivyo,lkn je vitamsadia kupata Ubunge wa Ukonga bila mtaji wa watu?
Tawile!Nadhani sasa JF imeingiliwa na virusi,yaani tunapiga vita matumizi mabaya ya pesa huyu jamaa anakuja kusifia eti John Mashaka anamwaga mafedha jimboni akishirikiana na akina BUSH kuja kutawala ukonga,aibu!Huyo Wasiwasi(Mashaka)hana tofauti na RA na mkimfagilia mtaona mashaka yake.Kama kweli anataka ku-invest hizo dola laki 3.5 lazima aseme kwanza atazirudisha vipi. Hatuwezi tukawa tunafanya kazi ya kuwapigia kelele wezi na kuwakaribisha majambazi, au tukubali kununuliwa na majambazi.
Katika hali ya kawaida mtu mwenye dola laki 3 na 4x4 nne hata jiingiza kwenye "mchezo mchafu", aanze kwanza kwa ku-invest hizo dola kwenye jimbo hilo then tuone kama anawasaidia wananchi, otherwise ni kwamba anataka kuwanunua wananchi ili ajichotee
hivi ukonga mahanga ameleta maendeleoo ganii??Bahati nzuri kwa Dar yalipo makazi yangu ni Kipunguni-kitunda,na sijaona hata siku moja John Mashaka akishirikiana na sisi kweye suala la maendeleo;kwa ufupi kama kweli anakuja kugombea Ukonga na aje na "tutamnyoa" na hizo" hela zake!Kama suala ni mgombea kiana wapo wengi tu Ukonga na sio lzm awe John Mashaka ambaye umaarufu wake kwa wana Ukonga tunausikia tu kupitia blog ya Michuzi inayomtangaza kweli kweli!
Pia kama kweli ataleta Wamarekani kuja kumfanyia kampeni hapo atakuwa anavunja katiba,sheria mama za uchaguzi wa TZ zinakataza kabisa kwa mtu asiye raia wa tz kuhusika kwa lolote lile ktk uchaguzi wetu kama sisi ambavyo hatuingilii chaguzi za nchi zingine!
"Mwisho ni hii habari ya dola 350,000 na gari hizi zake za kifahari",Kwa maisha ya USA kujikusanya hadi kufikisha hela hizo na kununua magari hayo ni ngumu;anyway acha niamini kama anavyo vitu hivyo,lkn je vitamsadia kupata Ubunge wa Ukonga bila mtaji wa watu?
... na mimi hapo Kitunda ShuleniNa msinisahau Mkandara nipo Matembele, Ukonga..
Wrong and very bad start:
i) Anatumia hela katika kujaribu kupata huo ubunge. Huo nao ni ufisadi na hadaa, maana anatumia umaskini na shida za wana Ukonga kujipatia ubunge. Mara baada ya uchaguzi atafanya kazi ya kutafuta namna ya kurudisha hizo sh 350,000m. Ameingia kwa gia ileile aliyoingia nayo Masha huko Nyamagana na tukamshangilia sana, tena hapahapa JF, lakini leo sote tunajua anachofanya Masha!
ii) Kupitia CCM. Sign of cowardness. Mapinduzi na mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kupitia CCM. Atakachofanikiwa sana sana ni kujifunza kutetea ufisadi.
Anyway kama anataka uwaziri huko CCM ndiko kunakomfaa. Lakini kama kweli ana nia ya kushiriki kuleta mabadiliko aende upinzani, aache longolongo na woga.
Tupe chanzo cha habari yako. Magazeti ya udaku ndio huwa na vyanzo visivyo julikana. Je huu pia ni udaku?
Wrong and very bad start:
i) Anatumia hela katika kujaribu kupata huo ubunge. Huo nao ni ufisadi na hadaa, maana anatumia umaskini na shida za wana Ukonga kujipatia ubunge. Mara baada ya uchaguzi atafanya kazi ya kutafuta namna ya kurudisha hizo sh 350,000m. Ameingia kwa gia ileile aliyoingia nayo Masha huko Nyamagana na tukamshangilia sana, tena hapahapa JF, lakini leo sote tunajua anachofanya Masha!
ii) Kupitia CCM. Sign of cowardness. Mapinduzi na mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kupitia CCM. Atakachofanikiwa sana sana ni kujifunza kutetea ufisadi.
Anyway kama anataka uwaziri huko CCM ndiko kunakomfaa. Lakini kama kweli ana nia ya kushiriki kuleta mabadiliko aende upinzani, aache longolongo na woga.