ChingaMzalendo
Senior Member
- Nov 9, 2008
- 192
- 3
I would like to see some new blood in the parliament.Of course watu wanaweza kusema jamaa anakuja na gia opportunistic and all which is true and I would rather see straight talk, lakini at least tunaweza kuona siasa zetu zinakuwa elevated to another level.
I know John Mashaka is corny as hell in many ways, but what is the alternative? I will take a John Mashaka from "Wall St. South" any day rather than a John Komba or Makongoro Mahanga.
It's time to elevate the game, and unless we have a change of regime/ leadership we are guaranteed to revolve in a vicious cycle of mediocrity.
Ninachoona hapa siyo kwamba jamaaa ni vipi, ukweli ni kwamba watu wanamuogopa. Huyu ana kipaji maalum, he is so articulate, and that intimidates many of them. Hata mawaziri walionao wanamuogopa huyu mtoto
We have to admit the truth, that is is one of the talented few in our country has ever have.John Komba, Makongoro Mahanga hawana chochote hapa ndo maana wao roho chonde sasa hivi hawana amani kabisa. Waoga kama nini tunachohitaji ni mashaka zaidi ya mmoja