Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
hiyo bold inaonyesha kuwa yote uliyoyaandika ni uwongoHivi karibuni Dr. Kitilya Mkumbo alisema kuwa Johnson Mashaka anagawa fedha kama njugu!
wakati akitoa mjdadal huo, wadau wa JF wakawa hawana uhakika na chanzo cha data hizo; hata baadhi ya wakazi wa Jimbo la Ukonga - JF wakawa hawana lao.
Katika uchunguzi wangu niliofanya nimegundua yafuayo:
- Ni kweli Mh. Makongoro Mahanga amekuwa akifanya vikao vya siri katika kata za Tabata, Segerea, Kitunda na Kipawa, ili kulinda kitumbua chake cha Ubunge.
- Johnson Mashaka ambaye amesafiri siku ya J'5 tarehe 9 Sept kurudi marekani, ameweza kukutana na wadau wa ccm wa jimbo la Ukonga ili kujiadaa vyema.
- Johnson Mashaka + Makongoro Mahanga wote ni wakazi wa Kata ya Segerea.
- Wote ni kabila la wajaluo.
- Ni wazi Kuwa mojawapo ya vijana vichwa hapa Tanzania ni Johnson Mashaka! Ni mtaalamu wa masula ya kompyuta wa kutegemewa na kampuni mkoja - Texas.
- Makongoro ameongea na baadhi ya wadau wengine wa ukoo wa "kijaluo" ili kuongea na kijana aende akagombee jimbo la Rorya! Tayari wadau wamekataa kwani Prof. Sarungi ana mpango wa kurudi jimboni tena.
- Maongoro amekiri kuwa kijana pekee ndani ya ccm anayeweza kumsumbua kwenye kura za maoni ni Mashaka.
- Ni wazi kuwa Mashaka kama kijana makini, kugombea kwake kupitia CCM inaweza kuhoji uhalali wake na umakini wake katika uchaganuzi na uchambuzi wa fursa za kisiasa!
- wasiwasi wangu ni dogo huyo kuanza kuhonga fedha inaondoa uhalali wake wa kusemwa kuwa "zaidi ya Zitto"
- Namshauri agombee kupitia Chadema - ingawa nasikia kuna utitiri wa wagombea - Mwita waitara, Binagi, Dady na wengine wengi..
- Naungana na uhakika wa hoja za Kitila Mkumbo!!