Viongozi wa chadema hawajui siasa wanachojuwa ni majungu na siasa maji taka pamoja na kula masikio mabichi ya binaadam.
Katika kile kinachoonyesha wazi kuwa sasa Mh. Shibuda ameamua kumwaga mboga baada ya viongozi wa CDM wao kumwaga ugali, katika hali isiyo ya kawaida Mh. Shibuda amewaambia viongozi wa CDM kuwa si welevu wa katiba ya nchi na wanaonyesha ni MAKUWADI WA FITNA.Source : Radio One Kipindi cha Nipashe leo 18.05.2012
wasipoomba radhi ndani ya siku tatu atachukua uamuzi gani.?
yeye shibuda anawajua viongozi wa chama chake kuliko sisi..so huwezi jua kwa nini kasema hivyo labda kuna aliyoyaona ambayo sisi wa nje hatuoni.
Katika kile kinachoonyesha wazi kuwa sasa Mh. Shibuda ameamua kumwaga mboga baada ya viongozi wa CDM wao kumwaga ugali, katika hali isiyo ya kawaida Mh. Shibuda amewaambia viongozi wa CDM kuwa si welevu wa katiba ya nchi na wanaonyesha ni MAKUWADI WA FITNA.Source : Radio One Kipindi cha Nipashe leo 18.05.2012
Katika kile kinachoonyesha wazi kuwa sasa Mh. Shibuda ameamua kumwaga mboga baada ya viongozi wa CDM wao kumwaga ugali, katika hali isiyo ya kawaida Mh. Shibuda amewaambia viongozi wa CDM kuwa si welevu wa katiba ya nchi na wanaonyesha ni MAKUWADI WA FITNA.Source : Radio One Kipindi cha Nipashe leo 18.05.2012
poorest heading, rudi shule
Heading lazima ikuume kwani Shibuda amepiga ikulu na heading ilikuwa hivi 'Viongozi wa cdm wachanwa wazi wazi kuwa ni makuwadi wa fitna'.
Mkuu ungeendelea kuandika kiswahili tu, nadhani tungekuelewa vizuri zaidi. sasa hii ndio nini?ndio mana nikasema jee shibuda aliongea kama nani? vijana tuthink in abstract befor to right to public.
Mbunge wa maswa mashariki (Chadema) Mh. Magale Shibuda amewapa siku 3 bavicha wamtake radhi yeye na wapiga kura wake kuhusu kutoa kauli kwenye NEC ya ccm kugombea urais anasema wana fikra hasi na kusahau kuwa yeye ni mjumbe wa APRM mpango wa kujitathimini africa kwa hiyo alikuwa anatoa mada kwenye NEC.
Mada yenyewe ni Kugombea urais siyo!!!!!!!!!!!! Huyu ndiyo anaelekea mwisho..
Atarudi ccm!wasipoomba radhi ndani ya siku tatu atachukua uamuzi gani.?
Mwenzenu kaahidiwa ukuu wa wilaya!