Dawa pekee ya kumuadhibu shibuda ni kumu-ignore. Bavicha wasikubali kuingia kwenye mtego wa malumbano na mtu asiyekuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya cdm. Shibuda kama de facto mbunge wa cdm, wamuache aendelee na mission yake ya kujilipua wasimkaribie kwa kumjibu maana wataripuka nae.
Chadema you are tested for leadership and tolerance against opposite vision, mkishinda mtihani huu basi kuna watu wengi sana hata ndani ya ccm watawaunga mkono. Hawatakuwa na wasiwasi na serikali ya chadema tena. Chadema ijikite kwenye kuelimisha umma iachane na shibuda.
Chadema you are tested for leadership and tolerance against opposite vision, mkishinda mtihani huu basi kuna watu wengi sana hata ndani ya ccm watawaunga mkono. Hawatakuwa na wasiwasi na serikali ya chadema tena. Chadema ijikite kwenye kuelimisha umma iachane na shibuda.