Sasa kama hayo ndio mabadiliko yakutaka kuniambia ni baadhi tu ya wabunge wanaofanya kazi. Wengine haujali kama ni wezi nk. ilimradi wanaleta ruzuku basi umepotea kwa sababu hizo ruzuku hazitakua na maana kama hatupati viongozi wazuri wenye nia ya kujenga chama na kusaidia wananchi..
If you are not a CDM member or supporter so what is your problem, hivi huko CCM wajinga wenu wanaliwa na nani.Haya ya udikteta wa Mbowe niliyasema zamani sana na kila siku huwa nawauliza, what do you expect from a night club don? Umafia tu.
Huyu Mbowe hana cv ya uongozi wa aina yoyote. Kama ni disko, kalirithi hajalianzisha yeye. Hajawahi kuwa Monitor wala Prefect shuleni. Basi, kwa ajili ya vipesa vya umafia wa night club ndio manmuona kiongozi? Ama kweli, wajinga ndio waliwao.
If you are not a CDM member or supporter so what is your problem, hivi huko CCM wajinga wenu wanaliwa na nani.
<br />Mkuu ningependa unielimishe ukiacha nafasi ya ubunge, je<font color="blue"> SHIBUDA</font> ana cheo gani ndani ya<b> CHADEMA?</b> au ni mjumbe wa kikao kipi na alichaguliwa lini?<br />
2. si ndio huyu huyu <font color="blue">SHIBUDA</font> mwenye uchu wa nyama aliyekwenda kwenye mnuso wa uzinduzi wa bunge wakati wenzake walimwacha <b>mkwere</b> akae na wasanii wenzake wachekecheke vizuri? sasa mtu mwenye uchu wa nyama unategemea nini kutoka kwake? labda tumshauri <b>MBOWE</b> awe anchinja mbuzi kila wiki kuwafurahisha wenye uchu wa nyama.
Wadanganye wajinga wanaoliwa si mimi, kuna staili humu imezuka mtu ataanza.....hiki chama chetu ama viongozi wetu......nakishauri chama changu kimuondoe Mwenyekiti Mbowe hafai............kwa akili ya kawaida watu kama hawa huwa tunawapotezea.Mimi si Chadema ila napenda Chadema iwe na nguvu ya kuleta upinzani wa kweli. Na hiyo haitakuwepo ikiwa bado mbowe ni mtawala.
Gazeti la Mtanzania 13 December 2010 limemnukuu Shibuda akilalamika kuwa mbowe ni Dikteta na anawaburuza na anajenga makundi badala ya umoja ndani ya chama
"hali ilikwishachafuka, Mbowe anaendesha vikao kwa ubabe, kuhujumiana, kubomoana na kujenga makundi... ule ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa wajumbe watano wa kamati kuu, lakini ukatanguliwa na hicho kikao cha kuvunjiana heshima, ilibidi nitoe jina langu" alisema Shibuda.
Shibuda kama ulikuwa hujui huyo ndio Mbowe.
Does CCM got one? Makamba? Kikwete? .........then who is the visionary leader you are refering to in Tanzania?CDM hawaoni makosa ya baba yao Mbowe, they will try to justify his every move....the guy is a crook. The party now needs a strong visionary leader not this thug....
Wadanganye wajinga wanaoliwa si mimi, kuna staili humu imezuka mtu ataanza.....hiki chama chetu ama viongozi wetu......nakishauri chama changu kimuondoe Mwenyekiti Mbowe hafai............kwa akili ya kawaida watu kama hawa huwa tunawapotezea.
which hood?CHADEMA, as they say in the hood, don't never say...
Kwanini unawapa nasaha chadema wakati huwapendi? kawape makamba advice zako kwani naona weye una busara sanaNajuwa unafahamu nasema nini, mimi si Chadema ila nawapa nasaha zangu tu. Mkipenda zisikizeni mzifanyie kazi, la hamkupenda zipuuzeni kwani waswahili hunena "sikio la kufa halisikii dawa".
You (we) Tanzanians need no less than an iron-fist kind of treatment to come back to y(our) lost senses!
Nyerere was branded a dictator too, wasn't he? But for a good course!
Dogo wangu Mbowe, you keep on playing hard ball stuff my man. The sleeping population of this blessed nation need just that.
Wish we had 10 hard men like you!
Wadanganye wajinga wanaoliwa si mimi, kuna staili humu imezuka mtu ataanza.....hiki chama chetu ama viongozi wetu......nakishauri chama changu kimuondoe Mwenyekiti Mbowe hafai............kwa akili ya kawaida watu kama hawa huwa tunawapotezea.