SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Wewe junya kaa kimya mumeo anabanikwa kama ndafu hukoAwe motoni mume wako shetani ndio amekwambia ama umejuaje?
Wewe junya kaa kimya mumeo anabanikwa kama ndafu hukoAwe motoni mume wako shetani ndio amekwambia ama umejuaje?
Hujajibu swali, umejuaje yuko motoni, mumeo nsio kakwambia?Wewe junya kaa kimya mumeo anabanikwa kama ndafu huko
Wewe unapanga bidhaa barabarani siyo na unaona ni maendeleo tuyaani mliovyo wajinga kwa kiwangoi cha juu sana nyie kuwapa madaraka itakuwa ndoto maana hao watu wa kipato cha chini wafanya biashara ndogondogo mtawapa shida yaani wata pata tabu sana mtawanyanyasa mno kama mnaona kupanga vitu barabarani ni kosa eti imejengwa kwa garama nyie ni makatili kuliko katili mwenyewe tunawaogopa mtawamaliza wamachinga hamtakaa muingie ikulu hata siku moja mpaka mtakapojirekebbisha na kauli zenu za chuki
Inasemekana wengi huko usa walitumikia kunyongwa au hukumu ya maisha teknolojia ya dna ilipokuja iliwaondoa Katika hatia .Mungu ashukuriwe na amlaze peponi mtu aliyegundua elimu ya DNA.
Matendo ya mumeo dhalim ndiyo yanathibisha kuwa yuko motoni,kama vipi mfuate mkakangwe wote. Wauaji wote adhabu yao ni motoni tu.Hujajibu swali, umejuaje yuko motoni, mumeo nsio kakwambia?
Kama mumeo shetani kakuthibitishia sina la kusema.Matendo ya mumeo dhalim ndiyo yanathibisha kuwa yuko motoni,kama vipi mfuate mkakangwe wote. Wauaji wote adhabu yao ni motoni tu.
Vijana wa chadema uongo hautawasaidia kumsingizia Magufuli kila kitu.
Maelezo yako yanasema Munisi ni wahanga wa mwanzo kabisa wa utawala wa awamu ya 5 lakini pia unasema Sabaya alimtengenezea kesi ili kumkomoa. Sasa unajiuliza ubaya wa awamu ya 5 ulianza mwaka 2019? Maana Sabaya aliteuliwa 2019. Kama huyo munisi ni miongoni mwa wahanga wa kwanza maana yake utawala wa awamu ya 5 ulianza kuwatendea ubaya watu mwaka 2019. [/QUOTE said:Kwahiyo mateso ya watu ni halali kwako maadamu hayakuanzia 2019 ehh!?
Vijana wa chadema tungeni uongo unaoendana na uhalisia. [/QUOTE said:Hapa naona umezoea kutungiwa ama kutunga uongo ama mpaka unataka kushawishi wengine watunge uongo!
Leo nimeona mnamuombea M7 afe eti ni dikteta said:Dikteta hawafai kwenye dunia ya sasa sijui kwako unawapenda dikteta?
Mnapoomba madikteta wafe msimuache/msimsahau mwenyekiti wenu kwani nae anatakiwa afe.[/QUOTE said:mwisho si kila Kiongozi ni dikteta bali matendo yao ndio huwabatiza udikteta kama kukaa mamlakani muda mrefu kwa Kiongozi ni udikteta basi hata viongozi wako wa dini utasema ni madikteta maana wao ni mpaka wafe tuu.
Kweli wewe ni hakimu mfawidhi wa John Pombe maana huelewi unachobisha. Huyo dikteta muuaji aliyekufa kwa KOLONA ameumiza sana watu. Huko aliko atakuwa anapigwa mangumi na hao malaika wake.Vijana wa chadema uongo hautawasaidia kumsingizia Magufuli kila kitu.
Maelezo yako yanasema Munisi ni wahanga wa mwanzo kabisa wa utawala wa awamu ya 5 lakini pia unasema Sabaya alimtengenezea kesi ili kumkomoa.
Sasa unajiuliza ubaya wa awamu ya 5 ulianza mwaka 2019? Maana Sabaya aliteuliwa 2019. Kama huyo munisi ni miongoni mwa wahanga wa kwanza maana yake utawala wa awamu ya 5 ulianza kuwatendea ubaya watu mwaka 2019.
Vinana wa chadema tungeni uongo unaoendana na uhalisia.
Leo nimeona mnamuombea M7 afe eti ni dikteta, sasa kama ni kutaka madikteta wafe mbona hamumuombei mwenyekiti wenu afe maana na yeye ni dikteta. Kiongozi yeyote aliekaa madarakani zaidi ya miaka 10 hata kama anashinda uchaguzi ni dikteta anatakiwa kufa.
Mnapoomba madikteta wafe msimuache/msimsahau mwenyekiti wenu kwani nae anatakiwa afe.
Mungu huyohuyo unayemwita kibwengo ndo aliwaokoa watanzania kwa kulipiga limbuyu chini pwaaah.Huyo Mungu atakua hana kazi nyingine za kufanya hadi afikirie kuibariki chadema? Mungu afikirie kubariki chama cha kikabila, huyo Mungu ama kibwengo?