Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,067
John Munisi ni miongoni mwa Wahanga wa kwanza kabisa wa utawala wa Marehemu John Magufuli kufanya misa ya shukrani kwa lengo la kumtukuza Mungu kwa ajili ya Matendo Makuu aliyomtendea.
John Munisi ni Katibu wa Chadema wa Jimbo la Hai ambaye alitengenezewa kesi ya Ubakaji ya kumjaza mimba Mwanafunzi aliyetengenezwa ili kumkomesha kwa kuwa kiongozi wa Chadema, Sabaya alipewa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi kuwakomoa watu wote wanaomuunga mkono Freeman Mbowe kwenye jimbo la Hai, na ikibidi wauawe .
Munis alisota jela kwa muda mrefu hadi binti aliyetengenezwa alipojifungua, ambapo vipimo vya DNA vilionyesha kwamba Ndugu Munis hahusiki kabisa na ujauzito wa binti huyo, hivyo kuachiwa huru na Mahakama.
Misa hiyo Takatifu ya kumshukuru Mungu imesomwa katika Usharika wa Sonu.
John Munisi ni Katibu wa Chadema wa Jimbo la Hai ambaye alitengenezewa kesi ya Ubakaji ya kumjaza mimba Mwanafunzi aliyetengenezwa ili kumkomesha kwa kuwa kiongozi wa Chadema, Sabaya alipewa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi kuwakomoa watu wote wanaomuunga mkono Freeman Mbowe kwenye jimbo la Hai, na ikibidi wauawe .
Munis alisota jela kwa muda mrefu hadi binti aliyetengenezwa alipojifungua, ambapo vipimo vya DNA vilionyesha kwamba Ndugu Munis hahusiki kabisa na ujauzito wa binti huyo, hivyo kuachiwa huru na Mahakama.
Misa hiyo Takatifu ya kumshukuru Mungu imesomwa katika Usharika wa Sonu.