Nonsense utafikiri kaandika mwanangu wa chekechekea asiyejua kituVijana wa chadema uongo hautawasaidia kumsingizia Magufuli kila kitu.
Maelezo yako yanasema Munisi ni wahanga wa mwanzo kabisa wa utawala wa awamu ya 5 lakini pia unasema Sabaya alimtengenezea kesi ili kumkomoa.
Sasa unajiuliza ubaya wa awamu ya 5 ulianza mwaka 2019? Maana Sabaya aliteuliwa 2019. Kama huyo munisi ni miongoni mwa wahanga wa kwanza maana yake utawala wa awamu ya 5 ulianza kuwatendea ubaya watu mwaka 2019.
Vinana wa chadema tungeni uongo unaoendana na uhalisia.
Leo nimeona mnamuombea M7 afe eti ni dikteta, sasa kama ni kutaka madikteta wafe mbona hamumuombei mwenyekiti wenu afe maana na yeye ni dikteta. Kiongozi yeyote aliekaa madarakani zaidi ya miaka 10 hata kama anashinda uchaguzi ni dikteta anatakiwa kufa.
Mnapoomba madikteta wafe msimuache/msimsahau mwenyekiti wenu kwani nae anatakiwa afe.
Katili yule kateua kanda ya ziwa kwenye post za juu.kawalibda makatili wenzie sabaya na bashite,kafungia magazeti yaliyomkosoa,kafunga wafanyabiashara ambao hawakunsuporti ,kataka kumuua tundu lissu,kamfilisi mbowe,katubomolea nyumba mbezi kenge yule,kamuua ben saa nane kwa mkono wake,kamuua azory gwanda mbwa yule,miradi ya maendeleo yote kapeleka kwao kima yule,Uhuru wa kujieleza ni relative term, hakuna general rule ya kusema huu ndio uhuru na huu sio uhuru. Hivi unajua kuminya uhuru wa habari kweli wewe? Jifunze Noeth Korea wanaminya vipi uhuru ndio utaelewa maana ya kuminya.
Uhuru wa kuishi upi? Ubaguzi wa kikanda ni kampeni ya watu wa kaskazini kumzushia Magufuli. Hivi kuna watu wabaguzi kama wachaga? Chadema 90% ya uongozi ni wakaskazini. 80% ya wabunge wa viti maalumu wanaoteuliwa hua ni wachaga.
Chadema hamna moral authority ya kumtuhumu na tuhuma za uongo za kikabila Magufuli. Mnajulikana wazi ni chama cha kichaga na hilo halina ubishi.
Chama gani cha kieneo Magufuli alianzisha?
Mtuhumuni Magufuli na tuhuma za ukweli, acheni hizi za kubumba bumba hazitawasaidia kujiondoa na tuhuma za ukabila.
Mimi sina chama wala sio mchaga ila sipendi uonevu ,hakuna tofauti ya hitler na magufuliUhuru wa kujieleza ni relative term, hakuna general rule ya kusema huu ndio uhuru na huu sio uhuru. Hivi unajua kuminya uhuru wa habari kweli wewe? Jifunze Noeth Korea wanaminya vipi uhuru ndio utaelewa maana ya kuminya.
Uhuru wa kuishi upi? Ubaguzi wa kikanda ni kampeni ya watu wa kaskazini kumzushia Magufuli. Hivi kuna watu wabaguzi kama wachaga? Chadema 90% ya uongozi ni wakaskazini. 80% ya wabunge wa viti maalumu wanaoteuliwa hua ni wachaga.
Chadema hamna moral authority ya kumtuhumu na tuhuma za uongo za kikabila Magufuli. Mnajulikana wazi ni chama cha kichaga na hilo halina ubishi.
Chama gani cha kieneo Magufuli alianzisha?
Mtuhumuni Magufuli na tuhuma za ukweli, acheni hizi za kubumba bumba hazitawasaidia kujiondoa na tuhuma za ukabila.
Adai fidia kwa maumivu ya kusota jela na fedheha mbele ya jamii.John Munisi ni miongoni mwa Wahanga wa kwanza kabisa wa utawala wa Marehemu John Magufuli kufanya misa ya shukrani kwa lengo la kumtukuza Mungu kwa ajili ya Matendo Makuu aliyomtendea
John Munisi ni Katibu wa Chadema wa Jimbo la Hai ambaye alitengenezewa kesi ya Ubakaji ya kumjaza mimba Mwanafunzi aliyetengenezwa ili kumkomesha kwa kuwa kiongozi wa Chadema , Sabaya alipewa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi kuwakomoa watu wote wanaomuunga mkono Freeman Mbowe kwenye jimbo la Hai , na ikibidi wauawe .
Munis alisota jela kwa muda mrefu hadi binti aliyetengenezwa alipojifungua , ambapo vipimo vya DNA vilionyesha kwamba Ndugu Munis hahusiki kabisa na ujauzito wa binti huyo , hivyo kuachiwa huru na Mahakama .
Misa hiyo Takatifu ya kumshukuru Mungu imesomwa katika Usharika wa Sonu .
Duh! Mkuu una hasira!!!! Pole sana.Katili yule kateua kanda ya ziwa kwenye post za juu.kawalibda makatili wenzie sabaya na bashite,kafungia magazeti yaliyomkosoa,kafunga wafanyabiashara ambao hawakunsuporti ,kataka kumuua tundu lissu,kamfilisi mbowe,katubomolea nyumba mbezi kenge yule,kamuua ben saa nane kwa mkono wake,kamuua azory gwanda mbwa yule,miradi ya maendeleo yote kapeleka kwao kima yule,
pamoja sanaMungu ibariki Chadema
Sio kweli. Hapo kwenye uteuzi Magufuli alikua fair tu sema wachaga wao kwenye kila uteuzi hua mnataka zaidi ya nusu wawe wachaga.Katili yule kateua kanda ya ziwa kwenye post za juu.kawalibda makatili wenzie sabaya na bashite,kafungia magazeti yaliyomkosoa,kafunga wafanyabiashara ambao hawakunsuporti ,kataka kumuua tundu lissu,kamfilisi mbowe,katubomolea nyumba mbezi kenge yule,kamuua ben saa nane kwa mkono wake,kamuua azory gwanda mbwa yule,miradi ya maendeleo yote kapeleka kwao kima yule,
Pumbavu yule mwizi kwanzaSio kweli. Hapo kwenye uteuzi Magufuli alikua fair tu sema wachaga wao kwenye kila uteuzi hua mnataka zaidi ya nusu wawe wachaga.
Alimteua Diwani kua mkuu wa TISS ama Diwani sio wa kaskazini?
Wafanyabishara gani walifungwa kwa kuonewa? Manji ni mwizi, Ruge na Sethi walikwepa kodi. Hilo liko wazi.
Mbowe hakua analipa kodi ya pango pale bills.
Mbezi mlivamia eneo la barabara, mlitaka mlipwe kuvamia road reserve? Mna akili kweli?
Kanda ya ziwa inachangia 26% ya pato la taifa unataka apeleke miradi ambako Pwani ambako wanazalisha nazi tu? Hata ungekua wewe usingefanya huo ujinga.
Ujumbe muhimu ni kuwa tulikuwa na utawala dhalimu. Mimi siamini kama marehemu alikuwa sawasawa wakati wote, maana kuna mambo alikuwa anafanya ambayo hata kiongozi katili, kama ana akili timamu hawezi kufanya.Vijana wa chadema uongo hautawasaidia kumsingizia Magufuli kila kitu.
Maelezo yako yanasema Munisi ni wahanga wa mwanzo kabisa wa utawala wa awamu ya 5 lakini pia unasema Sabaya alimtengenezea kesi ili kumkomoa.
Sasa unajiuliza ubaya wa awamu ya 5 ulianza mwaka 2019? Maana Sabaya aliteuliwa 2019. Kama huyo munisi ni miongoni mwa wahanga wa kwanza maana yake utawala wa awamu ya 5 ulianza kuwatendea ubaya watu mwaka 2019.
Vinana wa chadema tungeni uongo unaoendana na uhalisia.
Leo nimeona mnamuombea M7 afe eti ni dikteta, sasa kama ni kutaka madikteta wafe mbona hamumuombei mwenyekiti wenu afe maana na yeye ni dikteta. Kiongozi yeyote aliekaa madarakani zaidi ya miaka 10 hata kama anashinda uchaguzi ni dikteta anatakiwa kufa.
Mnapoomba madikteta wafe msimuache/msimsahau mwenyekiti wenu kwani nae anatakiwa afe.
Kilicho dhahiri, utawala wa awamu ya 5 ulikuwa wa kishetani. Mungu aliunyima baraka kwa sababu hashikanishwi na ibilisi. Utawala ukashindwa kwenye nyanja zote - uchumi, uhusiano wa kimataifa, umoja wa kitaifa, demokrasia, n.k. Kila eneo, vigezo vinaonesha tulianguka.Tatizo la chadema ni kuamini serikali inawatengenezea matukio na wala hawaamini kama hata Sabaya kwa sasa anatengenezewa matukio,yaani eti chadema hua ni Malaika wasio na dhambi
Wachaga mna matatizo sana tena makubwa na yasiyo hata na maana yoyote
Mambo gani hayo mkuu?Ujumbe muhimu ni kuwa tulikuwa na utawala dhalimu. Mimi siamini kama marehemu alikuwa sawasawa wakati wote, maana kuna mambo alikuwa anafanya ambayo hata kiongozi katili, kama ana akili timamu hawezi kufanya.
Kwa haya majibu yako, kumbe wewe siyo mzima. Unaweza kuchangia kama mtu mwenye uelewa badala ya ushabiki?Sio kweli. Hapo kwenye uteuzi Magufuli alikua fair tu sema wachaga wao kwenye kila uteuzi hua mnataka zaidi ya nusu wawe wachaga.
Alimteua Diwani kua mkuu wa TISS ama Diwani sio wa kaskazini?
Wafanyabishara gani walifungwa kwa kuonewa? Manji ni mwizi, Ruge na Sethi walikwepa kodi. Hilo liko wazi.
Mbowe hakua analipa kodi ya pango pale bills.
Mbezi mlivamia eneo la barabara, mlitaka mlipwe kuvamia road reserve? Mna akili kweli?
Kanda ya ziwa inachangia 26% ya pato la taifa unataka apeleke miradi ambako Pwani ambako wanazalisha nazi tu? Hata ungekua wewe usingefanya huo ujinga.
Wengi hao ni wapi? Ulifanya sensa ya hao watu ukajua wanatoka wapi?Kwa haya majibu yako, kumbe wewe siyo mzima. Unaweza kuchangia kama mtu mwenye uelewa badala ya ushabiki?
Wengi wanaomkosoa marehemu, siyo watu wa Kaskazini, wala siyo wachaga, umekazania hoja ya kijinga ya uchaga na ukaskazini.
Inabidi adai fidia aseeJohn Munisi ni miongoni mwa Wahanga wa kwanza kabisa wa utawala wa Marehemu John Magufuli kufanya misa ya shukrani kwa lengo la kumtukuza Mungu kwa ajili ya Matendo Makuu aliyomtendea
John Munisi ni Katibu wa Chadema wa Jimbo la Hai ambaye alitengenezewa kesi ya Ubakaji ya kumjaza mimba Mwanafunzi aliyetengenezwa ili kumkomesha kwa kuwa kiongozi wa Chadema , Sabaya alipewa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi kuwakomoa watu wote wanaomuunga mkono Freeman Mbowe kwenye jimbo la Hai , na ikibidi wauawe .
Munis alisota jela kwa muda mrefu hadi binti aliyetengenezwa alipojifungua , ambapo vipimo vya DNA vilionyesha kwamba Ndugu Munis hahusiki kabisa na ujauzito wa binti huyo , hivyo kuachiwa huru na Mahakama .
Misa hiyo Takatifu ya kumshukuru Mungu imesomwa katika Usharika wa Sonu .
Hata Pendo Peneza msuya! Walikosa kabisa mwanamke geita nzima wakaweka huyo dada kisa anaasili ya huko hawa pumbavu sanaUhuru wa kujieleza ni relative term, hakuna general rule ya kusema huu ndio uhuru na huu sio uhuru. Hivi unajua kuminya uhuru wa habari kweli wewe? Jifunze Noeth Korea wanaminya vipi uhuru ndio utaelewa maana ya kuminya.
Uhuru wa kuishi upi? Ubaguzi wa kikanda ni kampeni ya watu wa kaskazini kumzushia Magufuli. Hivi kuna watu wabaguzi kama wachaga? Chadema 90% ya uongozi ni wakaskazini. 80% ya wabunge wa viti maalumu wanaoteuliwa hua ni wachaga.
Chadema hamna moral authority ya kumtuhumu na tuhuma za uongo za kikabila Magufuli. Mnajulikana wazi ni chama cha kichaga na hilo halina ubishi.
Chama gani cha kieneo Magufuli alianzisha?
Mtuhumuni Magufuli na tuhuma za ukweli, acheni hizi za kubumba bumba hazitawasaidia kujiondoa na tuhuma za ukabila.