At nan?Hawana nguvu hiyo!
Spika awezaye mambo hayo alikuwa Saba
Hivi serikali hii inyojinasihu a wanyonge haina pesa hizo bilioni 500 za kuwalipa wakulima kama ni hasara ikawa juu ya seriali lakini ikaokoa maisha ya watu na wakulima??Hapa bila kumungunya maneno serikali iliboronga,
Mawaziri wawili walifutwa kazi wakionekana wameshindwa kutatua mgogoro wa bei ya korosho,lakini hata alioteua hao tena walilamba magalasa tu.
Na pale busara za waziri mkuu zilipozuiwa na mkuu wa kaya,kuhusu wanunuzi waliojitokeza muda wa majeruhi,Waziri Mkuu hana kosa.
Waziri mkuu anapaswa kujiuzulu kwa kushindwa kumshawishi rais kukubali ushauri wake juu ya wateja waliotaka kununua koroshoHapo mi naona Raisi Magufuli aachie ngazi tu atupishe waziri mkuu alimwambia kuna kampuni zitachukua korosho alikataa na kusema hela za korosho zipo