Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Haya maelezo hutolewa na watu wenye msongo wa mawazoHivi Mnyika anajua Kibamba mpaka leo barabara kibao zinapitika kwa shida sana,akipata muda apite Segerea atashangaa sana
Haya maelezo hutolewa na watu wenye msongo wa mawazoHivi Mnyika anajua Kibamba mpaka leo barabara kibao zinapitika kwa shida sana,akipata muda apite Segerea atashangaa sana
kama haombi hela ,huyu jamaa atakuwa mmoja ya watu wa kwanza kwnza kuachia jimbo na dada yake Mdee, sio mbaya tutaendelea kuwa pamoja nao kwenye mitandaoSisi ndio tunaamua mahali pa kupeleka fedha na hamna cha kutufanya - Heri James , Mwenyekiti UVCCM
anatokwa povu mgonjwa wa kifafa ana nafuu!Aumie tu ujumbe ushafika
collective incimbombilization. unasumbuliwa na ujinga kihalaikiNi sadist kweli ,ndiyo maana mwenyekiti yupo South Africa akisumbuliwa na alosto baada ya ile biashara kupigwa marufuku
hilo liko wazi sana , shetani hajawahi kumshinda MunguSadist atashindwa na atalegea .
Poor english!Hey Kamanda ....the *** is “silince”?
🤣🤣🤣🤣🤣
UCHAGUZI bado wewe unatabir matokeo leo. mkiambiwa mnapendlewa na tume mnainua viuno jujuu kama mchezavyo ngoma za komba pale chimwagakama haombi hela ,huyu jamaa atakuwa mmoja ya watu wa kwanza kwnza kuachia jimbo na dada yake Mdee, sio mbaya tutaendelea kuwa pamoja nao kwenye mitandao
We jamaa ni mpumbavu sana ndo maana huna maskioPOS.
Mtu ashasema yeye ni kichaa u sadist ni kama cousin tu wa kichaa hajamfikia kichaa mwenyeweNauliza jamani niambieni, mtu anayetaka watu waishi kama mashetani ni nani?
Ni nani huyo anayetumia rambirambi za wahanga huku akiwananga?
Anayetaka wasiokuwa na pesa ya kivuko wapige mbizi, ana upendo sana ati ehee?
Hivi kweli anayejali atawaambia watumishi wake muhimu ati wakabangue korosho kwa meno?
Ni jeuri ya namna kumwambia msaidizi na mtendaji wako mkuu ati nitawapiga hata shangazi zako!! Kweli?
MUNGU ATUPONYE NA ROHO YA USADIST, NI ROHO YA KOROSHO NA HAIFAI KABISA.
MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣We jamaa ni mpumbavu sana ndo maana huna maskio
We bashite weweMnyika is stupid!
Sijaongea kiushabiki huo ndio ukweli,acha yeye abaki kwenye mitandao Bonnah yuko field kila siku,Kimanga mzigo unapigika, Bima hoya hoya, jeshini maji chumvi mpaka kimara kuna mkeka unatandazwa wa maana,bado kiwalani,maji yakikatika fasta anatua na wataalamHaya maelezo hutolewa na watu wenye msongo wa mawazo
Maneno ya kwenye kanga tena ya wake wenza.Sisi wanaume hayatuhusu.Ni maneno ya Mbunge wa Kibamba na kiongozi wa CHADEMA, John J. Mnyika.
Ametweet kwamba taifa linaongozwa na sadist. Sijui anamaanisha taifa gani ila huenda akawa anamaanisha Tanzania. Kwa maana hiyo, kiongozi wa taifa hili ni sadist!
Sadist ni neno la kiingereza linalomaanisha mtu ambaye furaha yake inapatikana pale anapowaumiza wengine. Ni kama katili fulani hivi anayeburudishwa na mateso ya watu wengine.
Si mara ya kwanza kwa Mnyika kutoa misemo ya alama kwa viongozi wa taifa hili. Itakumbukwa wakati wa Rais Kikwete alimuita Rais huyo Dhaifu bungeni na jina hilo likavuma mpaka sasa.
Hili sio tusi kweli?!
huyo na Mdee wajiandae mapema kabisa,hamna tume wala nini,hawajadeliver chochote hii termUCHAGUZI bado wewe unatabir matokeo leo. mkiambiwa mnapendlewa na tume mnainua viuno jujuu kama mchezavyo ngoma za komba pale chimwaga
won't help.Mnyika is stupid!
We mwenyewe unasema hujui anamaamisha taifa gani, sasa why are you concluding is Tanzania? Sadist is someone who obtains pleasure by inflicting pains or others. Sasa wewe unapo conclude ni Tanzania unamaanisha kuna mtu hapa kwetu unayemuona anatabia za u sadist? Kama u sadist ni tusi kama unavyodai ingawa sio tu, inamaanisha wewe ndio tayari umemrukana mtu ambaye unadhani anatabia za u sadist.Ni maneno ya Mbunge wa Kibamba na kiongozi wa CHADEMA, John J. Mnyika.
Ametweet kwamba taifa linaongozwa na sadist. Sijui anamaanisha taifa gani ila huenda akawa anamaanisha Tanzania. Kwa maana hiyo, kiongozi wa taifa hili ni sadist!
Sadist ni neno la kiingereza linalomaanisha mtu ambaye furaha yake inapatikana pale anapowaumiza wengine. Ni kama katili fulani hivi anayeburudishwa na mateso ya watu wengine.
Si mara ya kwanza kwa Mnyika kutoa misemo ya alama kwa viongozi wa taifa hili. Itakumbukwa wakati wa Rais Kikwete alimuita Rais huyo Dhaifu bungeni na jina hilo likavuma mpaka sasa.
Hili sio tusi kweli?!
Uzuri wa Mnyika akiamua kupinga anapiga kweli kweli, yule alikuwa dhaifu huyu ni sadist.Mnyika amesema ukweli kabisa