Kwani kuumwa malaria sio tatizo la kifamilia?Nassari anasema Mnyika alikuwa anaumwa malaria wewe unasema alikuwa na matatizo ya kifamilia???
Source:facebook ya nassari
Dr. Slaa alitakiwa atoke toka zamani kabla ya Zitto.
Ni mchumia tumbo sana huyo mzee, amesikia tetesi ya Mbowe kupewa hela basi anataka atingishe kibiriti ili avute hela.
Download halafu tupia hapa
online metadata and exif viewer
Chonde chonde chadema mshikamane msiwape nafasi ccm kuvuruga mipango yenu kumbukeni in mipango ya mungu mwaka huu kuidondosha ccm umoja wenu Na mshikamano wenu ndio utawapa ushindi viva mnyika viva slaa
Hakuna lolote unaloweza kutuaminisha kwa huo uongo wako,wanaofanya hizo propaganda ni ccm
Hahah hamuwezi kujificha..mmenunua chama ila wazalendo hamjatununua..we shall stand
Endelea kubebeshwa mizigo kama punda
Chonde chonde ya nini tena?mnyika ndiyo huyo
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameibuka jijini Dar es Salaam na kuhudhuria kikao cha Kamati Kuu (CC) ya chama chake. Anaandika Saed Kubenea (endelea).
Taarifa kutoka ndani ya kikao cha CC kinachofanyika katika hoteli ya Bahari Beach zinasema, Mnyika amehudhuria mkutano huo na kueleza kuwa kutoonekana kwake, kumetokana na matatizo ya familia.
Mnyika ambaye ni naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekuwa haonekani tangu Edward Lowassa alipojiunga na chama chake, Jumapili iliyopita.
Mbali na Mnyika, katibu mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, hajaonekana katika ofisi za chama hicho, tangu Lowassa ajiunge na Chadema; jambo ambalo limezua taharuki kwamba huenda amejiuzulu wazifa wake.
Dk. Slaa ambaye alishiriki vikao vyote muhimu na majadiliano vilivyomkaribisha Lowassa ndani ya Chadema, anadaiwa kuzuiwa na mkewe, Josephine Mushumbuzi, kushughulika na chama hicho.
Mwanasheria mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amethibitisha Mnyika kuhudhuria mkutano huo.
Amesema, Mnyika yupo ndani ya ukumbi wa mkutano. Anashiriki kikao cha kamati kuu. Waliokuwa wanadhani chama chetu kimepata mpasuko kutokana na ujio wa Lowassa, walikuwa wanajidanganya.
Lissu amesema, ndani ya Chadema wako wamoja, yote yaliyotokea yalikuwa mapambano yanayotokana na ukomavu wa kidemokrasia uliyopo.
Ni ngumu kwa sasa kubishana na vijana wa team lowassa sababu wao tayari ni victims..lakini mi kura yangu hainunuliwi kwa pesa..kwa sasa magufuli atakuwa bora zaidi kwangu..
Kwani kuumwa malaria sio tatizo la kifamilia?
Kamanda wanasema hiyo picha ya mwaka 2012 vipi sema neno moja tu na roho yangu itulie
Ni ngumu kwa sasa kubishana na vijana wa team lowassa sababu wao tayari ni victims..lakini mi kura yangu hainunuliwi kwa pesa..kwa sasa magufuli atakuwa bora zaidi kwangu..
Ni ngumu kwa sasa kubishana na vijana wa team lowassa sababu wao tayari ni victims..lakini mi kura yangu hainunuliwi kwa pesa..kwa sasa magufuli atakuwa bora zaidi kwangu..