Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
Labda Dr. Kafunga kuombea jaribio hili baya lililoinyemelea chama. Tumuombee
Picha inaonesha ni usiku hiki kikao kinafanyikia USA??
mbona story haina ushirikiano na heading
Dr kokote uliko naomba bakia hivo hivo, wanaojifanya wana mapenzi nawe ndo hao wametumwa ili system 'mabwepande' ifanikiwe. Waache waseme hadi wachoke...ila wewe unajua mapenzi yako kwa Tz yetu si ya kuachia mikononi mwa wasio na sifa kama hawa tulionao sasa. Kaza moyo konde sisi wengine tunatimiza swala tano kwa ajili yako tu na mpango mzima wa ukombozi wa Tz toka kwa wakoloni wapya wenye ngozi na rangi kama yetu ila wana suti kama zao!!!Hata kama Dr akirudi..things wont be the same...watanzania wameshaelewa sababu za Dr kugoma!
Download halafu tupia hapaNafikiri ume edit hizo date ili isomeke 2012 lakini ukasahau time, kingine huyo yuko hapo mbele ni Mbowe na Mwalimu, je Mwalimu alikuwepo mwaka 2012??
Nafikiri ume edit hizo date ili isomeke 2012 lakini ukasahau time, kingine huyo yuko hapo mbele ni Mbowe na Mwalimu, je Mwalimu alikuwepo mwaka 2012??
Unalia nini sasa! vaa gwanda uitwe FISADI
Mama gani?
Download halafu tupia hapa
online metadata and exif viewer
Slaa anajiona mungu ntu ndani ya CDM! Nadhani wangeachana naye tu