John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

Sipati picha Dr. Slaa akiwasha simu yake hizo mvua za msg zilizohewani kumtafuta zitavunja kio cha simu!
 
Dr. Slaa aliikuta Chadema na ataondoka ataicha.
Ameshatumika vya kutosha sasa anaweza kwenda.
 
Magufuli? Ndio Nani?

Moja kati ya silaha muhimu za vita ni kuheshimu na kutambua nguvu ya adui yako. Hapa kuna kujidanganya na kujiamini kunakopitiliza. Kama vile kutafuta Rais ni sawa na kutafuta mshindi wa BSS.
 
Chonde chonde chadema mshikamane msiwape nafasi ccm kuvuruga mipango yenu kumbukeni in mipango ya mungu mwaka huu kuidondosha ccm umoja wenu Na mshikamano wenu ndio utawapa ushindi viva mnyika viva slaa

Hakuna mpango wa Mungu apo tena,,,, ni biashara tu na team el kuibaka cdm
 
pamoja makanda.Kila mmoja aliyena ufahamu ataiombea mema chadema na kuwapa moyo wakupambana na adui
 
pamoja makanda.Kila mmoja aliyena ufahamu ataiombea mema chadema na kuwapa moyo wakupambana na adui

Mkuu mwenye ufaham haoni future nzuri ya tz ikiwa mikononi mwa ccm au cdm,

Hivi vyama viwili ni majanga
 
Picha ya zamani sana hii mnyilka ameapa kuwa hawezi rejea ukahawani

Kama ni ya zamani basi angeweka pia ya Dr. Slaa halafu akwambie kuwa Slaa ndani ya kikao? Sio watu wote waongo kama wewe.
 
Dr. Slaa alitakiwa atoke toka zamani kabla ya Zitto.
Ni mchumia tumbo sana huyo mzee, amesikia tetesi ya Mbowe kupewa hela basi anataka atingishe kibiriti ili avute hela.
 
Mara "Lissu si huyu hapa," sasa "Mnyika si huyu hapa." Kiu ya Watanzania ni "Where's Dkt Slaa?"
 
Back
Top Bottom