matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,960
Kuingia kwenye kikao cha CC sio kukubaliana na maamuzi.. Ila kama ikitokea Mnyika nae akasaliti harakati na misingi aliyoipigania basi taifa litazidi kupoteza dira.. Maana wanasiasa vijana waliokuwa strong wote wanazidi kuonekana ni njaa njaa.
Alianza Zitto kutuangusha, sasa naona mnyika nae anaweza kutuangusha kwa maslahi ya chama chao.
Alianza Zitto kutuangusha, sasa naona mnyika nae anaweza kutuangusha kwa maslahi ya chama chao.