Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,811
- 218,467
Leo Tarehe 10/07/2022 , Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, amefika kwenye gereza la Bariadi kuwajulia hali Viongozi wa Kata ya Dutwa , Jimbo la Bariadi Waliofungwa kifungo cha Maisha Gerezani.
Wafungwa hao wa kisiasa KATALA KIKAJA na NG'ULIMA LILANGA , walibambikwa makosa ya Uongo ili kuwakomoa na ile Serikali ya Kikatili ya awamu ya 5 kwa vile Walikuwa viongozi wa Chadema , waliokataa siasa za kishamba za kuunga mkono Juhudi , zilizokuwa zinasimamiwa na kuratibiwa na Humphrey Polepole aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CCM , ukiacha aliyewatuma ambaye alikwishafariki , lakini Wahusika wote wa unyama huo bado wako hai na wanafahamika .
Hata hivyo Chadema imekwishakata Rufaa na tayari rufaa hiyo imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 20/07/2022
KILA UBAYA UTALIPWA .