John Mnyika awatembelea gerezani Viongozi wa CHADEMA waliofungwa Maisha huko Bariadi

Hiyo umevuruga; kubambikwa makosa ya uwongo siyo lugha sahihi inaondoa objectivity ya hoja yako. Kuna rufaa, na CHADEMA ina jopo la mawakili wazuri akina Kibatala na Lissu wangewakatia rufaa. Kufungwa maisha ni kosa kubwa sana, siyo la kubambikizwa kisiasa hata kidogo. Kama viongozi hao walifanya makosa ya kisheria, acha sheria ichukue mkondo wake. Viongozi wa mtaa siyo watu wa kuitisha serikali hadi iwapanie kiasi hicho; kwanza serikali siyo inayotoa hukumu, bali ni mahakama.
Mkondo wa sheria kandamizi!!!
 
Kuna watu walisema hivyo hivyo Dua la Kuku. Walibaki midomo wazi.
Acha kushabikia unyama dhidi ya wengine kwa sababu tu haukuhusu wewe.
Nimesema nikivunja sheria ikathibita mahakamani kuwa kweli nimevunja shera, basi sheria itachukua mkondo wake. Nisipokubaliana na hukumu, nitakata rufaa. Iwapo wao hawakukata rufaa, basi walikubaliana na hukumu. Afadhali ungesema kuwa walikata rufaa wakakataliwa kusikilizwa, au walipelekwa moja kwa moja jela bili kusikilizwa mahakanai. Tofautisha kifungo na rumande.
 
Na utakubali wafidiwe kwa usumbufu mkubwa na mafadhaiko mengi waliyoyapata, ikithibitika kuwa kesi ilikuwa ni ya kubambikiza!

Na kama hiyo haitoshi, hao walioshiriki katika uvunjifu wa haki ya namna hii, ambao bado wapo unapendekeza nini juu yao kifanyike. Hakimu ni mshirika pia.

Kwa mfumo wa TZ, kama waliohusika bado wapo kwenye mfumo, ukikata rufaa na ukashinda, bora ujinyamazie na uendelee na shughuli zako.
Ukifuatafuta kutaka haki, wanaweza kukutanguliza sehemu fulani hivi
 
View attachment 2286315

Leo Tarehe 10/07/2022 , Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, amefika kwenye gereza la Bariadi kuwajulia hali Viongozi wa Kata ya Dutwa , Jimbo la Bariadi Waliofungwa kifungo cha Maisha Gerezani.

Wafungwa hao wa kisiasa KATALA KIKAJA na NG'ULIMA LILANGA , walibambikwa makosa ya Uongo ili kuwakomoa na ile Serikali ya Kikatili ya awamu ya 5 kwa vile Walikuwa viongozi wa Chadema , waliokataa siasa za kishamba za kuunga mkono Juhudi , zilizokuwa zinasimamiwa na kuratibiwa na Humphrey Polepole aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CCM , ukiacha aliyewatuma ambaye alikwishafariki , lakini Wahusika wote wa unyama huo bado wako hai na wanafahamika .

Hata hivyo Chadema imekwishakata Rufaa na tayari rufaa hiyo imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 20/07/2022

KILA UBAYA UTALIPWA .
Mungu ibariki Chadema, ALAFU tuone mtu anacheza na chama hichi LAZIMA asomewe NOVENA
 
Kwa mfumo wa TZ, kama waliohusika bado wapo kwenye mfumo, ukikata rufaa na ukashinda, bora ujinyamazie na uendelee na shughuli zako.
Ukifuatafuta kutaka haki, wanaweza kukutanguliza sehemu fulani hivi
Ni kweli hao jamaa walishakufa roho na nafsi. Sio watu tena
 
Kwa mfumo wa TZ, kama waliohusika bado wapo kwenye mfumo, ukikata rufaa na ukashinda, bora ujinyamazie na uendelee na shughuli zako.
Ukifuatafuta kutaka haki, wanaweza kukutanguliza sehemu fulani hivi
Kwa maana hiyo basi; huyo aliyekanyagiwa haki zake na yeye anaweza kuwatanguliza sehemu fulani hao wabaya zake?
 
View attachment 2286315

Leo Tarehe 10/07/2022 , Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, amefika kwenye gereza la Bariadi kuwajulia hali Viongozi wa Kata ya Dutwa , Jimbo la Bariadi Waliofungwa kifungo cha Maisha Gerezani.

Wafungwa hao wa kisiasa KATALA KIKAJA na NG'ULIMA LILANGA , walibambikwa makosa ya Uongo ili kuwakomoa na ile Serikali ya Kikatili ya awamu ya 5 kwa vile Walikuwa viongozi wa Chadema , waliokataa siasa za kishamba za kuunga mkono Juhudi , zilizokuwa zinasimamiwa na kuratibiwa na Humphrey Polepole aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CCM , ukiacha aliyewatuma ambaye alikwishafariki , lakini Wahusika wote wa unyama huo bado wako hai na wanafahamika .

Hata hivyo Chadema imekwishakata Rufaa na tayari rufaa hiyo imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 20/07/2022

KILA UBAYA UTALIPWA .
Mnyika hii kazi ya KM ameiweza sn
 
Hili Jambo hata Mimi linanipaga ukakasi sisi wananchi wabinafsi Sana ..hapa mitandaoni huwa tunajifanya mdomo mwingi na wamoja Ila uhalisia hakuna hiko kitu ndo maana watu wakipata matatizo tunawaacha peke yao.

NB:Waache wakina Halima Mdee watafune pesa maana sisi wananchi hatuna jema kwao.
Uoga wa kijinga unatutesa sn
 
View attachment 2286315

Leo Tarehe 10/07/2022 , Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, amefika kwenye gereza la Bariadi kuwajulia hali Viongozi wa Kata ya Dutwa , Jimbo la Bariadi Waliofungwa kifungo cha Maisha Gerezani.

Wafungwa hao wa kisiasa KATALA KIKAJA na NG'ULIMA LILANGA , walibambikwa makosa ya Uongo ili kuwakomoa na ile Serikali ya Kikatili ya awamu ya 5 kwa vile Walikuwa viongozi wa Chadema , waliokataa siasa za kishamba za kuunga mkono Juhudi , zilizokuwa zinasimamiwa na kuratibiwa na Humphrey Polepole aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CCM , ukiacha aliyewatuma ambaye alikwishafariki , lakini Wahusika wote wa unyama huo bado wako hai na wanafahamika .

Hata hivyo Chadema imekwishakata Rufaa na tayari rufaa hiyo imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 20/07/2022

KILA UBAYA UTALIPWA .
Mungu ibariki JF
 
zilizokuwa zinasimamiwa na kuratibiwa na Humphrey Polepole aliyekuwa Katibu wa Uenezi wa CCM , ukiacha aliyewatuma ambaye alikwishafariki , lakini Wahusika wote wa unyama huo bado wako hai na wanafahamika .
Polepole huko uliko una tuhuma nzito mno, njoo uzijibu.
 
Nimesema nikivunja sheria ikathibita mahakamani kuwa kweli nimevunja shera, basi sheria itachukua mkondo wake. Nisipokubaliana na hukumu, nitakata rufaa. Iwapo wao hawakukata rufaa, basi walikubaliana na hukumu. Afadhali ungesema kuwa walikata rufaa wakakataliwa kusikilizwa, au walipelekwa moja kwa moja jela bili kusikilizwa mahakanai. Tofautisha kifungo na rumande.
Una maoni Gani kwa Sasa? we Mzee nlisema ujitoe tu JF kulinda heshima Yako. Toka uzushe JPM Yuko hai ilihali ameshakufa huwezi kuaminika Tena. Sasa uko hapa unatetea watu kufungwa jela maisha et Wana "serious crime" Leo hii wameonekana walifungwa kimakosa utaweka wapi sura Yako!?

Hivi kwanini wasomi mkiingia CCM mnaweka akili pembeni.
 
Back
Top Bottom