Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,738
- 10,821
We ulikuwa unapumuliwa,unafikiri wote wanapumuliwa kama wewe?Mbona mama ako bado anakulea huku akijua ww ni shoga unapumuliwa kisogoni
Punguza ulegevu wa akili we mama.
We ulikuwa unapumuliwa,unafikiri wote wanapumuliwa kama wewe?Mbona mama ako bado anakulea huku akijua ww ni shoga unapumuliwa kisogoni
Usizungumze kama umekuja Tanzania leo tokea Jupiter. Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama kwa maana ya mahakama?Hiyo umevuruga; kubambikwa makosa ya uwongo siyo lugha sahihi inaondoa objectivity ya hoja yako. Kuna rufaa, na CHADEMA ina jopo la mawakili wazuri akina Kibatala na Lissu wangewakatia rufaa. Kufungwa maisha ni kosa kubwa sana, siyo la kubambikizwa kisiasa hata kidogo. Kama viongozi hao walifanya makosa ya kisheria, acha sheria ichukue mkondo wake. Viongozi wa mtaa siyo watu wa kuitisha serikali hadi iwapanie kiasi hicho; kwanza serikali siyo inayotoa hukumu, bali ni mahakama.
Mkuu hawa watu kama huyo uliyemquote huwa wanalipwa ili kupindisha hoja kwa manufaa ya ccm , wanalipiwa hadi kodi za nyumba pamoja na ada za watoto wao kwa kazi hiyoUsizungumze kama umekuja Tanzania leo tokea Jupiter. Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama kwa maana ya mahakama?
Hivi kwa Serikali dhalimu, unaona inaweza kushindwa kumbambikizia mtu kesi ya uhaini, mauaji au hata ujambazi? Mimi nimewahi kushuhudia, kijana mdogo aliyegoma kubandika nyumbani pake bango la mgombea wa CCM, kubambikiwa kesi ya ujambazi wa kutumia silaha. Akapelekwa mahabusu ya polisi, kesho yake mahakamani, hukumu ikawa jela. Akafungwa. Na waliofanya hivyo walikuwa viongozi wa ngazi ya Wilaya. Nilifanikiwa kumtoa jela baada ya kwenda ofisi ya Mkuu wa mashtaka.
Nchi hii kuna mambo mengi sana ya ajabu, na mengine mengi yanafanywa na watu wa ngazi za chini. Si ajabu, ukakuta hata hao, mambo yote hayo ya hovyo, wala marehemu hakuhusika moja kwa moja ila wale viongozi wa chini wanafiki, watafuta sifa, ndio walipsuka hayo yote.
Anadanganywa na akina PindaSamia alipaswa kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa zile za jpm
Kwani uongo ?Chadema wao kila siku eti kesi zao ni magumashi
Hivi mtu anayepuyanga mtaani uchi ukimwita kichaa/chizi/mwendawazimu, utakuwa umemdhalilisha!!???Kwani makamba na kinana nani walimdhalilisha mwenzao?
Atamuoa baada ya wewe kuachika au!!???Mwaka huu tusiposikia Mbowe anamuoa mtoa mada cjui utakuaje.!
Mlango uko wazi wewe suKUMAWe ulikuwa unapumuliwa,unafikiri wote wanapumuliwa kama wewe?
Punguza ulegevu wa akili we mama.
Mm nitakuwa mke wa tatu baada ya wewe kuolewa na kupelekewa moto na MboweAtamuoa baada ya wewe kuachika au!!???
Dua la kuku hiloIko siku Mungu atalipa haya kwako au kwa wanao , endelea .
Unaposema utawala wa tano ni kama vile miaka yote wanaovunja sheria huwa hawachukuliwi hatua. Heshimu sheria; hakuna atakayekugusa! Unaambiwa unapoenedesha barabarani usifanye makosa madogomadogo kwani traffick akikukamata kwa kosa unalodhani ni dogo tu labda la kutoonyesha indiketa, akikugaua utashangaa akakukuta na makosa makubwa mengi halafu ukadaia umebambikiwa. Kuna wengine wanadhani wamefanya kosa dogo tu, kumbe kwenye closet zao anakutwa na mafupa mengi sana ambayo watu wa nje hawayajui.Usizungumze kama umekuja Tanzania leo tokea Jupiter. Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama kwa maana ya mahakama?
Hivi kwa Serikali dhalimu, unaona inaweza kushindwa kumbambikizia mtu kesi ya uhaini, mauaji au hata ujambazi? Mimi nimewahi kushuhudia, kijana mdogo aliyegoma kubandika nyumbani pake bango la mgombea wa CCM, kubambikiwa kesi ya ujambazi wa kutumia silaha. Akapelekwa mahabusu ya polisi, kesho yake mahakamani, hukumu ikawa jela. Akafungwa. Na waliofanya hivyo walikuwa viongozi wa ngazi ya Wilaya. Nilifanikiwa kumtoa jela baada ya kwenda ofisi ya Mkuu wa mashtaka.
Nchi hii kuna mambo mengi sana ya ajabu, na mengine mengi yanafanywa na watu wa ngazi za chini. Si ajabu, ukakuta hata hao, mambo yote hayo ya hovyo, wala marehemu hakuhusika moja kwa moja ila wale viongozi wa chini wanafiki, watafuta sifa, ndio walipsuka hayo yote.
Mfano mzuri mwingine hivi kweli kwa ushahidi waliokuwa wakitoa kina Kingai na wenzake dhidi ya Mbowe kama kweli Jaji angetenda haki kulikuwa na uamuzi wa kusema Mbowe ana kesi ya kujibu pale???!!!!Usizungumze kama umekuja Tanzania leo tokea Jupiter. Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama kwa maana ya mahakama?
Hivi kwa Serikali dhalimu, unaona inaweza kushindwa kumbambikizia mtu kesi ya uhaini, mauaji au hata ujambazi? Mimi nimewahi kushuhudia, kijana mdogo aliyegoma kubandika nyumbani pake bango la mgombea wa CCM, kubambikiwa kesi ya ujambazi wa kutumia silaha. Akapelekwa mahabusu ya polisi, kesho yake mahakamani, hukumu ikawa jela. Akafungwa. Na waliofanya hivyo walikuwa viongozi wa ngazi ya Wilaya. Nilifanikiwa kumtoa jela baada ya kwenda ofisi ya Mkuu wa mashtaka.
Nchi hii kuna mambo mengi sana ya ajabu, na mengine mengi yanafanywa na watu wa ngazi za chini. Si ajabu, ukakuta hata hao, mambo yote hayo ya hovyo, wala marehemu hakuhusika moja kwa moja ila wale viongozi wa chini wanafiki, watafuta sifa, ndio walipsuka hayo yote.
AllahuakbarHata hivyo Chadema imekwisha kata Rufaa na tayari rufaa hiyo imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 20/07/2022
Ningeshangaa wakili mwenye chuki na Chadema asingeunga mkono hoja.Punguzeni Sana kuongea maneno yasiyo yamana maelezo yako yote lamana ni picha ya mnyika na tarehe ya kuaza sikilizwa rufaa
Wameumiza sana watu kwa sababu ya vyeo na pesa.Usizungumze kama umekuja Tanzania leo tokea Jupiter. Hivi wakati wa awamu ya 5, kulikuwa na mahakama kwa maana ya mahakama?
Hivi kwa Serikali dhalimu, unaona inaweza kushindwa kumbambikizia mtu kesi ya uhaini, mauaji au hata ujambazi? Mimi nimewahi kushuhudia, kijana mdogo aliyegoma kubandika nyumbani pake bango la mgombea wa CCM, kubambikiwa kesi ya ujambazi wa kutumia silaha. Akapelekwa mahabusu ya polisi, kesho yake mahakamani, hukumu ikawa jela. Akafungwa. Na waliofanya hivyo walikuwa viongozi wa ngazi ya Wilaya. Nilifanikiwa kumtoa jela baada ya kwenda ofisi ya Mkuu wa mashtaka.
Nchi hii kuna mambo mengi sana ya ajabu, na mengine mengi yanafanywa na watu wa ngazi za chini. Si ajabu, ukakuta hata hao, mambo yote hayo ya hovyo, wala marehemu hakuhusika moja kwa moja ila wale viongozi wa chini wanafiki, watafuta sifa, ndio walipsuka hayo yote.
Kuna watu walisema hivyo hivyo Dua la Kuku. Walibaki midomo wazi.Dua la kuku hilo
Iwapo nitafanya mauaji kweli basi sheria itachukua mkondo wake na wala sitalalamika; nitatubu tu.
Kwamba?Anadanganywa na akina Pinda