zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
JK kulipiza kwenye rufaa ya hawa Ngumbi?
Rais ni Rais na mahakama ni mahakama....
JK kulipiza kwenye rufaa ya hawa Ngumbi?
Katika chama cha CHADEMA mtu makini ni mmoja tu Zitto.
Huwezi kuenda nje ya mada na kuanza kusema raisi dhaifu duniani kote watu wanakutazama na wewe ni mbunge wa Ubungo. Wewe Mnyika umekuwa mtu mtovu wa nidhamu, ndio chama chako mnavyotaka?
Hivi sasa bunge limekuwa sehemu ya kupiga porojo?
Nyie watu wa CHADEMA mnadhani nchi hii ni yenu tu?
ninaona mmeanza kulewa madaraka.
Wewe mnyika jifunze kutumia nidhamu. Mbungeni sio sehemu ya mipasho.
Kama huelewi waulize wengine.
Msiwe bendera fuata upepo.mtaikumbuka ccm kwa kushabikia msichokijua!
Hata Bwana Yesu alisulibiwa kwa kusema ukweli. Nani anabisha kwamba JK si dhaifu?
Arusha je umesahau ukweli Mr Prst ni dhaifuuu ya zooooofuuuuRais ni Rais na mahakama ni mahakama....
Walienda Ikulu kumsaidia..........angekuwa rais Imara, asingehitaji kusaidiwa kuelekezwa kwamba yeye na wabunge wake wanachemka.Mnyika nilikuwa namuona kama kijana makini lakini leo kaniangusha kwa utovu wa nidhamu, sasa kama Rais ni dhaifu kwa nini ulienda Ikulu.
mbunge wa jimbo la ubungo JOHN MNYIKA amemwita RAIS NI DHAIFU ambapo ni kinyume na kanuni za bunge....
Amellita bunge ni ZEMBE ....
Na KUKITAA CHAMA CHA MAPINDUZI NI UPUUZI...
Kwa hili mnyika umepotoka sanaaa....tumia hekima hata kama una uchungu na nchii hii,
Katika chama cha CHADEMA mtu makini ni mmoja tu Zitto.
Huwezi kuenda nje ya mada na kuanza kusema raisi dhaifu duniani kote watu wanakutazama na wewe ni mbunge wa Ubungo. Wewe Mnyika umekuwa mtu mtovu wa nidhamu, ndio chama chako mnavyotaka?
Hivi sasa bunge limekuwa sehemu ya kupiga porojo?
Nyie watu wa CHADEMA mnadhani nchi hii ni yenu tu?
ninaona mmeanza kulewa madaraka.
Wewe mnyika jifunze kutumia nidhamu. Mbungeni sio sehemu ya mipasho.
Kama huelewi waulize wengine.
WATOTO WA CCM... Wanajua WEAKNESS ni TUSI
mnyika amekosa nidhamu kabisa na hii inachangiwa na makundi aliyonayo yana mwaribu kabisa