John Mnyika amuita Rais kikwete Dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

Nachoshindwa kuelewa!
Hivi kukosoa ni kosa?
Na kwa kumtoa mtu bungeni si ndio umefanya hata ambao hatukuwa tunajua tujue kwa kuanzia na kuhoji sababu za kutolewa then tutajua kilichosemwa
Juu ya yote neno dhaifu si tusi ila lina maana yake iliyo wazi tu,labda naibu spika angeomba maelezo ya UDHAIFU upi na hata kwa maandishi apewe lakini si kumfukuza mbumge nje hayo ni matumizi mabaya ya kanuni kwani hata angefuta usemi wake ingefutwa katika Hansard tu na sio mmasikio ya wabunge,watanzania na hata rais mwenyewe
tukirejea hapo nyuma Mh Sitta aliwahi kumuambia Mh rais kuwa aongeze kali kidogo akiwa na maana hiyo hiyo kwamba sometimes lazima kuwe na kauli ya mwisho na yenye nguvu!!
 
Katika chama cha CHADEMA mtu makini ni mmoja tu Zitto.
Huwezi kuenda nje ya mada na kuanza kusema raisi dhaifu duniani kote watu wanakutazama na wewe ni mbunge wa Ubungo. Wewe Mnyika umekuwa mtu mtovu wa nidhamu, ndio chama chako mnavyotaka?
Hivi sasa bunge limekuwa sehemu ya kupiga porojo?
Nyie watu wa CHADEMA mnadhani nchi hii ni yenu tu?
ninaona mmeanza kulewa madaraka.
Wewe mnyika jifunze kutumia nidhamu. Mbungeni sio sehemu ya mipasho.
Kama huelewi waulize wengine.

Pambaf mkubwa wewe kwani zito alishatolewa mara ngapi? hilo ni tatizo la masuburi kutumika wakati wa kufikiri
 
Serikali ya CCM imezidi kuonyesha jinsi isivyo sikivu kwa watu wake. Leo Mh. Myika kakandamizwa na mfumo ya CCM , hautaki kumsikilza nini anachosema, wao wanatafsiri zao za haraka haraka, pili kufikiriwa. ndicho kilchomhukumu Mh. Myika leo.

Watanzania tumeona, na tumesikia, pia tunaijua nia yako.

Endelea na mapambano mkuu. Waeleze ukweli daima, usiogope.
 
Sijaelewa imani ya Zitto Kabwe ipo upande upi, nimeona akishangili kitendo cha kutolewa nje Mh Mnyika, ame RT moja ya TWEET kama hii:

Zittokabwe: RT @Vannmoo: Nidhamu ni kigezo kimojawapo katika siasa za kiungwana,alichokifanya Mnyika sio hekma na sikutegemea kabisa kutoka kwake.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini hakuambiwa athibitishe? Au wameogopa kuumbuliwa? Big-up kamanda
 
Hata Bwana Yesu alisulibiwa kwa kusema ukweli. Nani anabisha kwamba JK si dhaifu?
 
mbona udhaifu upo wazi ...kubadilisha mawaziri mara kibao hio ni dalili moja wapo kubwa...
cdm kiboko hebu anglia wabunge wa ccm watakavyo anza kumsakama mnyika kama kuleee walivyomsakama lisu badala mjadala wa katiba
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom