Mnafufua jamaniNa ndo keshakuwa sasa. Comment yako ya leo ni ipi?!
Una jeshi, una mahakama, umejenga mpaka mahakama ya mafisadi, ni nini kinakushinda kuwapeleka mahakamani!? Juzi dodoma si mmeambiwa mjibu hoja kwa hoja!? Acha kulopoka, nyie ndio mlioambiwa kua ni nzi na akina katambi, na ngojeeni aje kuwakamata zwazwa huna nafasi kwa pumba hizi😀😀😀Majizi chadema
Umenikumbusha mbali nilishasahau kama niliwahi kuandika hii. nasimamia hapo hapo. Nchi hii ilihitaji JPM. Japo si kila kitu tunapenda, huo ndo ukweli!Huu ulikuwa ndio Msimamo wa wengi Sasa hivi wanaukana
AlaaaHuyu jamaa ni mnafiki sana kutwa ni kumsifia rais kuwa safari zake ndio zinaleta misaada Kumbe ni hasara kubwa
Heshima yako kiongoziHuyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!
KabisaNdo uzuri wa jamaa,hanaga kuzunguka point na kuremba.
Duuh!!!!! Wakati Si Milele.Hana Nguvu za kisiasa ndani ya CCM na wala hana sifa zozote kuwapita wenzake ndani ya CCM kama Lowassa, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Wassira, Mwigulu, Nchimbi.
Ila sifa moja ya kiCCM ya msingi anayo, ambayo ni Ufisadi. Magufuli ni Fisadi mzuri sana.
Lakini pia ni mnafiki mkubwa, kwani ni juzi tu alimkana Sitta na kudai hana mpango wa Urais kabisa!!
Kumbekumbe unapenda waongeaji!! kwa taarifa yako magufuli.....hapendwi ndani ya ccm EITHER.....JK na Pinda wanamuogopa na hakuna mwana CCM ndani ya CC atakayempitisha
kingine mkuu Magufuli siyo injinia.......by his age he will never be!!!! ni mkemia
Mkuu upo kwa hiiNchi hii tunahitaji dikteta. JPMagufuli is the closest to a dictator we can get!. We need one desperately!
Kumbe alikuwa akiutamani urais kisirisiri!teh!Ndo uzuri wa jamaa,hanaga kuzunguka point na kuremba.
Ulisema ukweli mtupu! Laiti tungekusikiliza!Huyu atakuwa dhaifu kuliko JK! Mambo mengi ya kitaifa ananyamazia hatujui msimamo wake...kwanza toka lini injinia akawa raisi! Akajenge madaraja huko!
Interesting! Kumbe ni kweli alipata urais kwa kura za hasira? JK na Pinda walimuogopa kwasababu gani mkuu?Anyways, walikuwa na kila sababu ya kufanya hivyo based on the current situation(mambo ya kuogofya kama utekaji, na kupigana risasi). Ila nilitaka kufahamu kama ungeweza kutueleza kuhusu hiyo "Hofu ya JK na Pinda" kuhusu jiwe kuwa rais.hapendwi ndani ya ccm EITHER.....JK na Pinda wanamuogopa na hakuna mwana CCM ndani ya CC atakayempitisha
Ulimpa?Magufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..
Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...
Ulipiga kura mzee?tena nilikua nimeahirisha mambo ya kupiga kura wakimteua huyo itabidi nikapange foleni.
KumbeCCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.
HahahaJikanyageni, mnajua kabisa akichukua fomu mmekwisha.