John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

at list, magufuli kidogo ila tatizo lake coward ingawa linapiga kazi sana limagufuli aka ngosha
 
Magufuli anastahili lakini hazijui siasa chafu kama mzee wa kimeta(el)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hii kura yako ya ki imla sana,kwa nini usingeongeza candidates wengine zaidi ili kina sisi tusio na imani na yeyote kati ya hao,tuweke changamoto na mwisho wa kura uchambue hao unaotaka kuwapambanisha?mf aug Mrema-100 fundikira-80 Membe 88 magufuli-15 slaa-40 lowassa-16. Then from the line you can pick your point
 
Hivi kati ya panya mweusi na panya wa kijivu ni yupi anayefaa kuwa Tembo?
 
wote wezi tu...! magufuri arudishe nyumba za serikali...! lowasa richmond...!
 
Inafaa marekani inayotoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara zote za nchini kupitia millenium funds.Na sio CCM wala nani.
 
Wote hawafai, huyo mzee wa kutengeneza mvua a.k.a mrichimond ndo kabisaaa mwizi na mnafiki.
 
Kwanza, Lowassa hajadiliki kwa sababu ni fisadi. Hatuhitaji fisadi ikulu. Pili, Magufuli anafaa tu ikiwa atajiengua CCM. Si vinginevyo. Ikumbukwe kuwa mfumo wa CCM ni wa kifisadi kwa 100% na hakuna wa kufurukuta.
 
Wewe kama godoro lake ukalaliwe mwenyewe waache watanzania wataamua wenyewe wanayemtaka asiye na laana ya baba wa taifa juu ya kujilimbikizia mali, uroho wa madaraka na udicteta.
CHAGUO SAHIHI NI LOWASA CZ Magufuli hana busara anakurupuka hafai Kwa urais anafaa kuwa Wazri mkuu wa lowasa naamin itakua hvyo ndo maana magufuli almkana sta
 
Back
Top Bottom