Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,796
- 4,297
To be realistic, huyu anakurupuka katika maamuzi! Anakuwa driven na hisia na si reasoning! Dikteita mkubwa hafai! Anatoa maamuzi kwenye jukwaa watu wamsikie. Sawa na Mrema enzi zake. Kweli nchi hii na vichaa wa siasa!
Da aliziba mirija nini?maana watu mirija ikizibwa wanakuwa na chuki zisizo jna sababu!