PostGE2025 John Heche: Tupo tayari kumpokea Halima Mdee CHADEMA

PostGE2025 John Heche: Tupo tayari kumpokea Halima Mdee CHADEMA

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kuweni makini sana na baadhi ya hawa watu.

Huwezi kumrudisha mwanachama kama Yericko kwa yeye kusema tu kumbe alikengeuka!

Kuna hawa waliojibaisisha wazi kabisa kuwa walitaka kukidhuru chama.

Ni muhimu kabisa kila mtu achukuliwe tofauti kwa kupima mchango wake katika juhudi zilizofanyika kukisambaratisha chama.
 
Ni jambo jema. Muhimu ni kuwapokea kwa heshima kama anavyosema yuko tayari kufanya kwa Halima. Aheshimu tu haki ya wanachama kutofautiana kimawazo ama sivyo hawatakuwa tofauti na CCM.

Amandla...
Sijasikia CCM wakigombana na kutaka kugawana fito;, au wewe unazo taarifa tusizozijuwa wengine?
 
Kuweni makini sana na baadhi ya hawa watu.

Huwezi kumrudisha mwanachama kama Yericko kwa yeye kusema tu kumbe alikengeuka!

Kuna hawa waliojibaisisha wazi kabisa kuwa walitaka kukidhuru chama.

Ni muhimu kabisa kila mtu achukuliwe tofauti kwa kupima mchango wake katika juhudi zilizofanyika kukisambaratisha chama.
Mpumbavu huna akili. Kwa hiyo Yericko pekee umeona sio kimeo? We ni mburula.
 
Katiba yetu inamruhusu kila mtu kujiunga na chama cha siasa akipendacho, wakati atakaoamua yeye, ilimradi afuate taratibu za chama husika.

Hakuna chama cha siasa kinachoweza kumkataa mtu yeyote anayetaka kujiunga nacho, kwasababu yoyote, uwanachama ni wa kila autakaye, bali uongozi ndio wa kila achaguliwae.

Sioni sababu ya kuwafanya Chadema waogope kuwapokea hao waasi.
 
Back
Top Bottom