Na hao hao wanaotoa masharti ni wahalifu, majambazi ambayo yamekaa madarakani isivyo halali
Itakuwaje, kundi la watu wahalifu ndio wawe wa kupangia waTanzania nini wafanye!
Hawa watu waovu sasa wanachosubiri ni kuona waTanzania kuwa wamezoea uhalifu wao na kufanya kama hali hiyo ndiyo hali ya kawaida na wao wanaendelea kukaa madarakani bila ya ridhaa ya wananchi.
Wanasubiri waTanzania wasahau maovu wanayotendewa, na wakubali hali hiyo ya uovu kuwa kama ndiyo hali ya kawaida., ili wao waendelee kukaa madarakani isivyo halali bila usumbufu.